Hillary Clinton aiumbua Tanzania

Pamoja na kupigia debe ziara yake alipokuwa hapa mama huyu, na kuwa ameamua kufuta umasikini, Bi Clinton aweka wazi kutokuridhika na hatua za kimaendeleo zilizofikiwa na Tanzania.Akitoa majumuisho juu ya ziara yake katika nchi kadhaa za Africa, Hillary alitumia muda mwingi kuisifia na kuipongeza Rwanda, kwa hatua kubwa za maendeleo zilizofikiwa, hatua ambazo zimeipeleka nchi hiyo kuelekea kujiondoa katika nchi masikini. Alizitaja nchi nyingine zilizopiga hatua kimaendeleo kuwa ni Zambia, Mali na Ghana. Hakuitaja kabisa Tanzania katika nchi zilizoonyesha juhudi za kupiga hatua kimaendeleoSource; ITV
simu... simu ....yake hiyo
 
Hakukuwa na haja ya Hilary Clinton kuisifia Tanzania kwa jambo gani. Viongozi walioko madarakani karibu wote ni MAFISADI hatua madhubuti hazichukuliwi kukomesha hali hiyo. Hilary Clinton yuko sahihi.
 
Jamani hapo hata kipofu atapapasa aone. Hillary ana utu, aliona sio ustaarabu kuanza kutoboa wazo kuwa Tanzania hatufanyi vizuri. Ametusitiri, akataja nchi zinazofanya vizuri. Tatizo ukweli huwa unauma. Tuukubali tuufanyie kazi ili tujikwamue, kama tu mtu anavyokubali kuchomwa sindano inauma sana kama crystapen, lakini ili APONE. Kazi kwetu wa TZ. Tukiendelea kuoneana haya, tutazidi kuporomoka. JK kiasi fulani anajitahidi, tatizo watendaji wake na washauri wake. Kingine, wale mashost wake, amewapa madaraka kama TAKRIMA ya wao kumwezesha awe Rais. Kuwashughulikia inakuwa ngumu kwake. Ningekuwa mie, na urafiki ufe bana, kwani nini????
 
Kwa hiyo Chadema-JF, mmejifariji kwa kutoitaja Tanzania?
Kweli Riz-1 ni zuzu. Pamoja na maelezo yaliyotolewa humu na Press Release waliyoitoa JF na kuandikwa ktk gazeti mashuhuri la J5 bado unaakili mgando za wakina Mukama kusema JF ni ya CHADEMA. Shame on you!
 
Hivi kusema ukweli ndio kuumbua? nina mashaka na magreat thinkers wetu...............
Kwa jinsi mlivyojishadadua na ziara ya Clinton na kutaka kuibinafsisha na baadaye mkamchapa na mzinga wa meli ya kulinda maharamia na kuficha upande wa pili wa uchumi mbovu ambao unaelekea ku colapse kutotajwa kama nchi inayo strive to develop ni kuumbuliwa huko bro. Mtu kama anatembea na mkeo kisiri siku ukijua na ukamwambia unakuwa umemuumbua licha ya kuwa ndo ukweli... Mambo ya lugha magumu bro
 
Kwa unavyotoa upupu inaonekana sura yako ndo iyoiyo tunayoiona,...
mkuu, point kwako mpaka tumsifie dk slaa? Halafu nitafute umaarufu wa nini wakati wote humu jf, tupo undercover
 
Yeah Nchi ina GAS, INA URANIUM, INA COAL, INA JUA, INA UPEPO MILIMANI

Kitu cha kwanza kutembelea alipofika hapa ni Mtambo wa Umeme unaotumia Petroli??

Why not our own abundant Natural Resources???
 
Country On the Right Path - Hillary Clinton Edmund Kagire
15 June 2011



Addis Ababa — Rwanda is one of the few African countries that have successfully applied development approaches that have paid off, diversifying economies and creating jobs in different sectors with an aim of reducing poverty.
This was said by the US Secretary of State, Hillary Clinton, during her visit to the African Union Headquarters in Addis Ababa, Ethiopia.


Clinton, who was on an African tour that took her to several countries, including Zambia and Tanzania, said that the continent is facing a huge challenge of creating jobs and opportunities for its young people but noted that several countries have taken the right path.
"Countries such as Zambia, Mali, Ghana, and Rwanda have had strong successes with their approaches to development," Clinton said.
"They have diversified their economies and created jobs across many sectors, which has helped to decrease poverty," Mrs. Clinton said.
The Secretary of State pledged the commitment of her government to continue supporting Rwanda and the other countries to build on the achievements they have registered mainly in infrastructure and agriculture.


"They have continuously reinvested in the foundations of their economies, building roads and power plants and expanding access to financial services so that more people can start or grow businesses,"
"Based on lessons we've learned from our work around the world, the United States wants to deepen our partnerships with countries that take a broad-based, inclusive, sustainable approach to growth," she noted.
Clinton noted that much of the development work that the US supported in the past provided "only temporary aid" and not the foundation for lasting change that helps people permanently improve their lives and communities.
She, however stressed that the Obama Administration is taking a different approach.
"Our goal is to help countries' economies grow over time so they can meet their own needs," she said adding that;


"Ultimately, we believe that the most effective development programs are ones that put themselves out of business because they spark economic activity, they help create strong institutions, they nourish a private sector that, once unleashed, will create more jobs".
Mrs. Clinton hailed the African Union for the commitment it has shown in addressing the challenges of the continent. She, however, urged African states to take stronger action against Libyan leader, Muammar Gaddafi.

"I urge all African states to call for a genuine ceasefire and to call for Gaddafi to step aside," the US diplomat said.
"Your words and your actions could make the difference in bringing this situation to a close and allowing the people of Libya to get to work writing a constitution and rebuilding their country".
[h=2][/h]
She noted that while the US is committed to continue supporting development efforts on the continent, African partners should play their part by increasing transparency, strengthening tax systems and fighting corruption, among other things.
Mrs. Clinton commended African countries and institutions working to accelerate economic integration, such as the East African Community, adding that last year, the US became the first country to nominate an ambassador to the EAC.
" .we are pursuing a partnership to help build a customs union and a common market and we applaud the efforts that began with the meeting in South Africa, last week, to discuss a tripartite free trade agreement that will lower trade barriers across dozens of countries," she said.
The Secretary of State highlighted a program by the US Government dubbed "Feed the Future", a US$ 3.5 billion food security initiative that will benefit 20 countries, including 12 on the African continent.
 
Mbona tunakuwa watumwa wa kiakili, Marekani wapo kimaslahi popote unapowaona nchi wanazosifia ni kwa faida yao sio faida ya Africa
 
Kweli Riz-1 ni zuzu. Pamoja na maelezo yaliyotolewa humu na Press Release waliyoitoa JF na kuandikwa ktk gazeti mashuhuri la J5 bado unaakili mgando za wakina Mukama kusema JF ni ya CHADEMA. Shame on you!
Wewe soma vizuri sio kukurupuka tu, humu JF, kuna watu wa aina nyingi kunaChadema-JFCCM-JFCUF-JF-Independent Thinker-JF.Na wengine wengi tuWapi nimesema JF, ni ya Chadema, wewe kweli akili yako imejaa ukungu
 
Acha uongo, kwenye red
1. Rwanda ni sawa na mkoa wa kigoma tu, kwa hiyo hawawezi
2. Ni kweli chedema walishinda huko karatu, moshi na Arusha kwa urais lakini si tanzania yote. Jakaya won election tuache uongo na ubabaishaji. bila shaka wewe utakuwa mtu wa kaskazini kwa Tz yetu. Nakushauri tembea Tanzania. ni zaidi ya kapo kaskazini ulipo. kuna kusini, magharibi, mashariki na kati pia.
Anyway kama hutaki leave me alone na nenda kapalilie ndizi na kapige dawa mikahawa.
Ngwendu,
Kikwete hakushinda Musoma, Mwanza, Shinyanga, etc. But that is an issue for another discussion.
 
Sipendi watawala wetu wasifiwe au wapondwe na wazungu, lakini kwa kesi ya nchi yangu tz, imedumaa na wala haikuwi.
 
As if wao wanaishi Rwanda teh teh teh

zile zama za uzalendo hata kwenye upumbavu zimepita...

wanamagamba kama wewe shosti mnapenda watu wafikirie ndani ya box la kiccm ambalo ni kudanganyana....

rwanda wako vyema na lazima tu admit, then tuwaige........tuanze na kuachana na usenge usenge wa kiccm wa kupigania amani na utulivu badala ya kupiga kazi za maendeleo na kuacha udokozi
 
Pamoja na kupigia debe ziara yake alipokuwa hapa mama huyu, na kuwa ameamua kufuta umasikini, Bi Clinton aweka wazi kutokuridhika na hatua za kimaendeleo zilizofikiwa na Tanzania.

Akitoa majumuisho juu ya ziara yake katika nchi kadhaa za Africa, Hillary alitumia muda mwingi kuisifia na kuipongeza Rwanda, kwa hatua kubwa za maendeleo zilizofikiwa, hatua ambazo zimeipeleka nchi hiyo kuelekea kujiondoa katika nchi masikini. Alizitaja nchi nyingine zilizopiga hatua kimaendeleo kuwa ni Zambia, Mali na Ghana. Hakuitaja kabisa Tanzania katika nchi zilizoonyesha juhudi za kupiga hatua kimaendeleo

Source; ITV

...Clinton anatafuta ugomvi na akina FaizaFoxx, W Malecela na Nape
 
Unapoandika this kind of post ni lazima pia useme ni nchi zipi ambazo alizitaja hazijakua na juhudi kubwa/nzuri za kujiletea maendeleo. ulitaka ataje nchi zooote
 
As if wao wanaishi Rwanda teh teh teh

Inaonyesha wewe ni mjinga fulani unatumia viungo vingine vya mwili kufikiri badala ya ubongo. Ujataka Tanzania iliyo mahututi isifiwe kuwa ni nzuri wakati ni la kubwa, usitake kuleta mambo ya Msibani Jamvini ya kumsifu marehemu hali alikuwa mbaya.
 
Unapoandika this kind of post ni lazima pia useme ni nchi zipi ambazo alizitaja hazijakua na juhudi kubwa/nzuri za kujiletea maendeleo. ulitaka ataje nchi zooote

Kwani hujui ametoka wapi? wakati unajua ni nchi gani ametoka kutembelea? fikiri kabla ya kuandika.
 
Back
Top Bottom