Duuu, nilikuwa nafahamu miguu ina makengeza ila siyo hivyo.
Ukisikia mtu kabaki na goli, huyu ni zaidi ha hiyo maana unaacha goli looote na kuja kupiga post nje na wakati huo kabaki peke yake na Mungu wake. Unaweza siku hiyo ukaamini kuwa kuna juju................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.