Umekuwa mwarabu dadaangu?Rumaan
Umekuwa mwarabu dadaangu?Rumaan
Waarabu wanaita Rumana, pengine wamepata kutoka hicho Kisomali.Kisomali hicho ... Ngekewa
Thats God food........ ( wadhungu huita hivo)Waarabu wanaita Rumana, pengine wamepata kutoka hicho Kisomali.
Waarabu wanaita Rumana, pengine wamepata kutoka hicho Kisomali.
Rumaan ni lugha ya kiarabu hiyo sio lugha ya Kisomali Mkuu Dotworld
Waarabu wanaita Rumana, pengine wamepata kutoka hicho Kisomali.
Ni jina hilo hilo kwa Kiarabu na Kisomali though wengine huita RumaankaI think wasomali ndio wamepata kutoka kwenye kiarabu maneno yao mengi kama kiarabu
Naona wote wanakujibu kwa kiswahili...sijui ni wote hawana lugha za kikwao (kikabila)? au ndo lengo lako mkuu kupata jina la kiswahili? anywayz kikwetu linaitwa ekimansimansi
Yaani wewe ndio unajichanganya kabisaaaa!Mkuu wewe ndio hujaelewa anachokitaka, amesema kwa lugha ya kwenu, siyo kabila la kwenu, lugha ni kama kiswahili, kichina nk ila kabila ndio kibena, kigogo nk
Kwahiyo unataka kutuambia kuwa hicho Kibena / Kigogo hakina / siyo lugha?! ... vipi Mkuu ndidudilalugha ni kama kiswahili, kichina nk ila kabila ndio kibena, kigogo nk
Kuna maneno karibu ya 4,000 ambayo Kiswahili imekopa kutoka Kiarabu.Sawa sawa na Kiswahili. Unajuwa neno shawishi lina msingi wa Kiarabu?