Hili tukio limenigusa sana: Bibi kizee wa miaka >100 abakwa kwa zaidi ya masaa 8!!

He is psycho...

Bibi yangu yu hai mpaka leo na ana miaka karibia 100 hata kushuka kitandani ni kazi anaona kama anatumbukia kwenye shimo. sasa na-imagine mtu kama huyo amtokee bibi yangu ambake kwa masaa 8??? Vitu vingine ni laana na dhambi zisizosameheka kwa kweli mbele ya Mungu na mwanadamu.

He is beyond psycho! He is a sorriest excuse for a human being.
 
He is psycho...

Bibi yangu yu hai mpaka leo na ana miaka karibia 100 hata kushuka kitandani ni kazi anaona kama anatumbukia kwenye shimo. sasa na-imagine mtu kama huyo amtokee bibi yangu ambake kwa masaa 8??? Vitu vingine ni laana na dhambi zisizosameheka kwa kweli mbele ya Mungu na mwanadamu.

Ni tukio gumu JS,

Mtu unapoangalia title ya habari kwenye gazeti, unaweza kudhani ni maigizo...

Inauma sana ukivuta picha na kulitazama tukio hilo kwa jicho la kibinadamu!
 
Ni tukio gumu JS,

Mtu unapoangalia title ya habari kwenye gazeti, unaweza kudhani ni maigizo...

Inauma sana ukivuta picha na kulitazama tukio hilo kwa jicho la kibinadamu!

...ndio ilivyo mkuu, "mkuki kwa nguruwe....!"
 
Sad story!. Hapa kuna asilimia nyingi za ushirikina au mbakaji hana akili timamu au jamaa alikuwa amelewa.

Kweli dunia imekwisha. Mtu mwenye akili timamu anafanya unyama wa aina hiyo.

Polisi ni wapumbafu.

Viongozi wa kijiji ni mpumbafu.
 
hahaaaa bibi anaonekana sukari guru mwanzo mwisho..masaa nane mtu anatweta tu mbona hatari..hahahaaaaaa pole bibi ndo ukubwa huo
 
Pole sana bibi.
Lakini je, hata kwa kuhisi, bibi hakuona anapelekwa direction nyingine?
Kwa masaa yote hayo nane kwanini hakupiga kelele?
Nahisi walikubaliana, bibi akasema "ingiza kichwa tu, kisha mwaga uji" jamaa akajibu poa.

Kilicho fuata sasa, ndio jamaa akatoa mauvundo yake yote, yaani non stop masaa 8.
Sijui cobra alitema sumu mara ngapi?
 
DC

Hebu fanya mambo na uongozi wa JF tuweze kuchangia.

Huyo mtu hafai kuwachiwa kuwa huru. Naamini tupo wengi radhi kugharamia kesi

Wabakaji hawakubaliki hata kidogo
 
Pia polisi wamekataa kumchukulia hatua mbakaji na pia uongozi wa kijiji nao hauna mpango wa kumsaidia huyu bibi ingawa mhusika yuko pale pale kijijini anatanua!!

Ningependa sana kujua kwa nini polisi wamekataa kumchukulia hatua huyo mbakaji.
 
Back
Top Bottom