Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
He is psycho...
Bibi yangu yu hai mpaka leo na ana miaka karibia 100 hata kushuka kitandani ni kazi anaona kama anatumbukia kwenye shimo. sasa na-imagine mtu kama huyo amtokee bibi yangu ambake kwa masaa 8??? Vitu vingine ni laana na dhambi zisizosameheka kwa kweli mbele ya Mungu na mwanadamu.
He is beyond psycho! He is a sorriest excuse for a human being.