Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,955
- 156,117
- Thread starter
- #21
Pole sana mpendwaKazi zimenikamata kweli kweli acha tu yaani..................................
Pole sana mpendwaKazi zimenikamata kweli kweli acha tu yaani..................................
Na jeuri mwenzie kusudi! Manina zake alizani kila siku ni jumatatu! Na kikubwa zaidi kapata cheo kipyaa (Kigodoro) Sipendi watu wenye dharau kama huyu dereva. Na kijiweni hakukaliki!! Yote sababu ya dharau zake!Ndo dawa ya dharau.......................
Pole sana mpendwa
Na jeuri mwenzie kusudi! Manina zake alizani kila siku ni jumatatu! Na kikubwa zaidi kapata cheo kipyaa (Kigodoro) Sipendi watu wenye dharau kama huyu dereva. Na kijiweni hakukaliki!! Yote sababu ya dharau zake!
Na jeuri mwenzie kusudi! Manina zake alizani kila siku ni jumatatu! Na kikubwa zaidi kapata cheo kipyaa (Kigodoro) Sipendi watu wenye dharau kama huyu dereva. Na kijiweni hakukaliki!! Yote sababu ya dharau zake!
kiburi dawa yake jeuri.
Jamaa alikuwa anaumwa akapita kituo cha taxi akaikuta taxi moja, akamuomba sana taxi dreva ampeleke hospitaji lakini fedha yake ilikuwa ndogo, kitu cha ajabu dreva alimporomoshea jamaa matusi ya nguoni na kumwambia akapande bodaboda kama hana hela.
Wiki mbili baadae jamaa akawa amepona na anapesa mkononi, akaenda kituo cha taxi akakuta taxi nne ikiwemo ya yule dreva aliyewahi kumtukana, akamwendea dereva wa kwanza;
JAMAA: Natafuta dereva wa taxi shoga niondoke nae ntamlipa laki
DEREVA 1: We mwenda wazimu nini hebu toka hapa.. Jamaa akenda taxi ya pili
JAMAA: Natafuta dereva shoga niondoke nae ntamlipa laki
DEREVA 2: Pumbavu mkubwa toka hapa
Hatimae jamaa akaenda kwa yule taxi dreva aliyewahi kumtukana
JAMAA: Aise sijui unaweza kunipeleka Ubungo?
DEREVA: Ndio shilingi alfu kumi
JAMAA: Haya twende....wakati wanaondoka jamaa akahakikisha anapungia mkono wale madereva waliobaki kituoni huku akionyesha alama ya kidole gumba. Akiwaacha midomo wazi
hebu chunga ndoa weee, usije ukatuletea uzi MMU, JF imevunja ndoa yanguDah, jf is never boring! Na usiku wote huu wa manane nimecheka kweli hadi my wife wangu kashtuka toka usingizini na kuanza kunishangaa!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
unapojifanya kuna wajanja zaidi...maana hakika akutukanaye hakuchagulii tusi