Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
- Thread starter
- #21
Angalia nembo ya TPDF mlangoni
Niliye piga picha nimeona Quick Respond force na gari si la hadhi ya jeshi....Kama kulikuwa na mlipuko mbona tuliruhisiwa kupita kwenda maeneo ya mbele?
Au walikuwa wanasubili tulipukiwe ndio wajue mlipuko ulikuwa wapi? Walikuwa wame settle kama KK Security