jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,401
Kuna dada mmoja nimetokea kumpenda sana ana miaka 29 sawa na umri wangu,katika kumfuatilia akaniambia ana jamaa yake yuko nje anasoma,ukweli mie sikuamini sababu tangu nimfahamu huyu dada kama miaka 3 iliyopita sijawahi kumuona na mwanaume yoyote wala kusikia kuwa anaboyfriend....nikaendelea kumfuatilia lakini maneno yake yakawa kama sitaki nataka..nikajipa moyo mwanaume na rafiki zangu wakanipa moyo sana kuendelea kufuatilia..baadaye yule dada akaniambia nimekwisha chumbiwa nikajua masiala..sababu nilipokuwa nampigia cim mda mwingine anapokea mara anapotezea na sms hivyo hiyo..
Wiki iliyopita sijui imekuwa vipi au sijuiyule dada alimwambia jamaa yake..mara nikaona simu number mpya hata sijui..jamaa kanisalimia akajitambulisha majina yake matatu akaongea kwa ustarabu tu kama vile tu nafahamiana story kama mbili tatu hivi baadaye akaniambia Tafadhari kaa mbali na mchumba wangu ambaye ni huyo dada.. akamtaja jina kisha akasema niache kumsumbua huyo dada wala kumfuata fuata sababu alikwisha mtolea mahari na tarehe ya arusi akanitajia.
Kwa kweli niliishiwa nguvu na sikuamini huyu dada angeweza kunifanyia hivi kwa nini asingesema mapema hakiwa serious na kwa nini aliamua kunisema kwa mchumba wake sababu inaonyesha alimpa full information zangu zote.nimepoteza zaidi ya miaka 2 namfuatilia huyu dada..
Naomba ushauri nifanyeje ili niweze kumsahau na kumtoa kwenye moyo wangu huyu dada..ukweli nampenda sana miaka 2 namfuatlia huyu dada lakini hakuna kitu.nimejaribu kumpa kila kitu nilichokuwa nacho ili aweze kusema ndiyo lakini alikataa kila kitu.siku ya tatu nalala naweweseka kwa ajili yake nampigia simu anasema hiyo ndiyo hari halisi.nikamuomba nitoke naye hata one night dinner kagoma.nifanyeje mimi......
Wiki iliyopita sijui imekuwa vipi au sijuiyule dada alimwambia jamaa yake..mara nikaona simu number mpya hata sijui..jamaa kanisalimia akajitambulisha majina yake matatu akaongea kwa ustarabu tu kama vile tu nafahamiana story kama mbili tatu hivi baadaye akaniambia Tafadhari kaa mbali na mchumba wangu ambaye ni huyo dada.. akamtaja jina kisha akasema niache kumsumbua huyo dada wala kumfuata fuata sababu alikwisha mtolea mahari na tarehe ya arusi akanitajia.
Kwa kweli niliishiwa nguvu na sikuamini huyu dada angeweza kunifanyia hivi kwa nini asingesema mapema hakiwa serious na kwa nini aliamua kunisema kwa mchumba wake sababu inaonyesha alimpa full information zangu zote.nimepoteza zaidi ya miaka 2 namfuatilia huyu dada..
Naomba ushauri nifanyeje ili niweze kumsahau na kumtoa kwenye moyo wangu huyu dada..ukweli nampenda sana miaka 2 namfuatlia huyu dada lakini hakuna kitu.nimejaribu kumpa kila kitu nilichokuwa nacho ili aweze kusema ndiyo lakini alikataa kila kitu.siku ya tatu nalala naweweseka kwa ajili yake nampigia simu anasema hiyo ndiyo hari halisi.nikamuomba nitoke naye hata one night dinner kagoma.nifanyeje mimi......