Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Nahumu 1:9
Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili
Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili
Asante Kiranja mkuu tunakaa na yetu mioyoni mwetu siku zote za maisha yetu
Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yetu (Wakolosai 3:16).
Kwa nini basi neno la Kristo likae kwa wingi ndani yetu? Ni kwa sababu lina mambo yafuatayo ambayo ni muhimu katika maisha yetu ya Ukristo.
Mambo hayo ni…
A) Neno la Mungu li Hai
B) Neno la Mungu lina nguvu (Mwanzo 1:6).
C) Neno la Mungu lina ukali kuliko upanga
D) Neno la Mungu linachoma hata kuzigawanya nafsi, roho viungo na mafuta yaliyomo ndani yake
E) Neno la Mungu li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo
Kumbe wewe ni MPENDWA?! Sikujua kama wapendwa wanaruhusiwa kuangalia mambo ya kikubwa!
Kuna kitu gani cha ajabu kwenye mambo ya kikubwa nisichokijua ..mie ni mkubwa pia???
Nilidhani kuwa wapendwa katika neno hawaruhusiwi kutafuta tamaa za kidunia. Kumbe siku hizi vinachanganyika!
thank you jesus, kumbe tunamkumbuka mungu wakati huu wa uchaguzi pia, thank you and stay blessed
Nahumu 1:9
Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili