Arnold Ndosi
Member
- Aug 14, 2012
- 65
- 3
Jambo Hli Linaweza likawa nje ya jukwaa le2 hili lakini kwakuwa kuna my fellow great thinkers na wengne,nisaidieni 2.
nimefanya utafiti sana juu ya chanzo cha uoga na hofu inayomtanda mtu akiona maiti lakini bado sijapata majibu.
ninadhani hajawah kufufuka marehemu yeyote akamtafuna m2 au akamfanyia m2 jambo baya.kwanini sasa tunaogopa miili hyo.
m2 akiwa mzima huogopi wala kusita ukiambiwa umguse au ulale nae kitanda kimoja,lakini weee! ukiambiwa umguse au ulale na marehemu unajihs uko ndani ya gharika,kwa nini sasa?.
Naombeni Mnitowe Kwenye Fikra Hz Zilizokosa Majibu Muda Mrefu Kwa Kutoa At Least 7bu Tatu.ahsanteni
nimefanya utafiti sana juu ya chanzo cha uoga na hofu inayomtanda mtu akiona maiti lakini bado sijapata majibu.
ninadhani hajawah kufufuka marehemu yeyote akamtafuna m2 au akamfanyia m2 jambo baya.kwanini sasa tunaogopa miili hyo.
m2 akiwa mzima huogopi wala kusita ukiambiwa umguse au ulale nae kitanda kimoja,lakini weee! ukiambiwa umguse au ulale na marehemu unajihs uko ndani ya gharika,kwa nini sasa?.
Naombeni Mnitowe Kwenye Fikra Hz Zilizokosa Majibu Muda Mrefu Kwa Kutoa At Least 7bu Tatu.ahsanteni