Hili likikubalika, cdm itakuwa na uhakika, nyerere alifanya hivyo na mandela pia

Nadhani wabunge wote sio CDM tu....hili lingekuwa namanufa kwa taifa zima sio mikoa au kanda tu! nadhani Uwezo thread yako ina kasoro kubwa sana. Hija kaa kitaifa zaidi...
 
Wazo zuri ninaliafiki, naomba Wabunge wa Chadema walifanyie kazi. Wasisahau kuwa wengiwetu hapa JF tunawasupport wao so they have to take our views and comments with their 2nd EYE.
 
Nadhani wabunge wote sio CDM tu....hili lingekuwa namanufa kwa taifa zima sio mikoa au kanda tu! nadhani Uwezo thread yako ina kasoro kubwa sana. Hija kaa kitaifa zaidi...

With Chadema kuna chance ya wao kukubali since sera zao zilikuwa ni kupunguza matumizi.... Na Dr Slaa alikuwa mbunge pekee aliyejaribu wabunge wapunguziwe mishahara..... CCM no chance hawatakubali
 
Wazo zuri ninaliafiki, naomba Wabunge wa Chadema walifanyie kazi. Wasisahau kuwa wengiwetu hapa JF tunawasupport wao so they have to take our views and comments with their 2nd EYE.
 
Ili ni wazo jengefu. Pia huko kujitolea kutaongeza na kushurutisha ufanisi wa wabunge katika maendeleo ya jamii. Kwa maana hakuna mbunge atakakua tayari kutoa 10% ya mshahara wake,halafu hasitake kujua na kufuatilia iyo 10% imetumikaje. Kwaiyo ili ni wazo zuri sana. Na natumaini wahusika wameliona na kwavile naelewa wahusika ni watu makini na werevu,watalifanyia utekelezaji wazo ili.
 
Nadhani wabunge wote sio CDM tu....hili lingekuwa namanufa kwa taifa zima sio mikoa au kanda tu! nadhani Uwezo thread yako ina kasoro kubwa sana. Hija kaa kitaifa zaidi...

Ndugu Kereng'ende kila jambo lina wakati na mahala pake: Kuna wakati wa kufanya kazi kitaifa na kuna wakati wa kufanya kazi kama kikundi lakini manufaa yote yakawa kitaifa. Lakini pia kuna wakati wa kusema na wakati wa kunyamaza, ni vema ukanyamaza usiseme kitu kwa sikio lililokufa lisilosikia dawa na ukatumia muda huo kusema kwa mwenye sikio hai. Hata humu unafikiri hawamo, wamo wanaruhusiwa kufanya hivyo, lakini najua hawataweza ingawa wana macho kuona kilichoandikwa lakini hawataona na ingawa wana masikio lakini hawatasikia.
 
Wanasiasa wa Tanzania hawaaminiki, wakichanga pesa binafsi kwenye maendeleo mfano PUMP za maji endapo watakosa Ubunge uchaguzi ujao wataviacha hivyo vitu? - Masha's case and other CCM MPs who were not re-elected. Hili linawezekana endapo kwa kila mradi watakaogharamia na pesa binafsi pawepo na mkataba (Grant Agreement) na mamlaka husika mfano Kijiji au Halmashauri

John Malecela
 
Back
Top Bottom