East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Juzi wakati Mheshimiwa Waziri wa ndani akihutubia maafisa wa juu wa vyombo vya ulinzi aliwauliza ni wangapi wana ilani ya chama na wanyooshe juu.
Wakabaki kutazamana tu kila mtu anamuangalia mwenzake.
Hivi jamani Afisa wa polisi, magereza, uhamiaji au zimamoto anatakiwa kutembea na Ilani ya chama?
Maana kwa mujibu wa katiba wao wanatumia sheria ya kulinda serikali na wananchi bila kufuata ilani yoyote.
Je, huyu waziri anajua majukumu ya jeshi au ndio utaratibu Mpya?
Alloooo!!!!!!!
Wakabaki kutazamana tu kila mtu anamuangalia mwenzake.
Hivi jamani Afisa wa polisi, magereza, uhamiaji au zimamoto anatakiwa kutembea na Ilani ya chama?
Maana kwa mujibu wa katiba wao wanatumia sheria ya kulinda serikali na wananchi bila kufuata ilani yoyote.
Je, huyu waziri anajua majukumu ya jeshi au ndio utaratibu Mpya?
Alloooo!!!!!!!