Hili la URANIUN SONGEA limekaaje??

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,027
Kulikuwa na Bandiko hapa la kazi mgodini Songea,sasa kwa baadhi ya watu walioomba wameambiwa shortlist inaandaliwa na vigezo vya kuingia kwenye shortlist inahitajika utume Tsh Laki 6 (600,000), lakini kwa kuanzia inabidi uwatumie laki 2(200,000) halafu ukishaenda kwa inteview then inabidi uwalipe inayobaki ie laki 4(400,000).

JE kama kuna mwenye details zaidi atujuze hii kitu ipo sawa au wanaweza kuingia mkenge hawa watakaoanza kutuma hizo laki 2? Na hizi nafasi ( nyingi za Operators) zilitoka kwenye gazeti au ni kwenye internet pekee?? Manake mambo ya mtandao hapa usije ukaingia UPOPO.
Nawakilisha.
 
Use ur common sense , wewe tangia umezaliwa ushawahi kuona nafasi za kazi zinauzwa?

Please just think,read my msg and give the proper answer!!

Tangazo lenyewe hili hapa
 
wapo weng matapel mf ni wale wengne kwenye thread humhum, so beware wangu.
 
Kulikuwa na Bandiko hapa la kazi mgodini Songea,sasa kwa baadhi ya watu walioomba wameambiwa shortlist inaandaliwa na vigezo vya kuingia kwenye shortlist inahitajika utume Tsh Laki 6 (600,000), lakini kwa kuanzia inabidi uwatumie laki 2(200,000) halafu ukishaenda kwa inteview then inabidi uwalipe inayobaki ie laki 4(400,000).

JE kama kuna mwenye details zaidi atujuze hii kitu ipo sawa au wanaweza kuingia mkenge hawa watakaoanza kutuma hizo laki 2? Na hizi nafasi ( nyingi za Operators) zilitoka kwenye gazeti au ni kwenye internet pekee?? Manake mambo ya mtandao hapa usije ukaingia UPOPO.
Nawakilisha.
Utaingizwa mjini matapeli hao, nani amekuambia kazi huwa zinauzwa?? Au ni kama wale wanaouziwa ikulu??
 
Mimi sijawahi sikia usaili wa ajira wa aina hii, sasa angalia usije ukalizwa mkuu.
 
Hapo hakuna kazi ni utapeli..... mimi nilipigiwa simu jumatatu jioni nikaambiwa nitangulize sh laki 2 au laki moja na nusu ndipo nitakua na uhakika wa kupata ajira baada ya kutoa hiyo hela,....
Ni kweli kuwa unaweza kukuta ajira inauzwa lakini si kwa mfumo huo mara nyingi mtu anaetaka kukuuzia kazi anakuambia kuwa kazi utapata lakini umuhakikishie kuwa mshaara wa kwanza utakaoupata utamlipa hela yake then ukimuhakikishia anakuingiza kwenye mchakato coz nayeye mwenyew yuko kwenye system ukishapata ajira anongea na HR moja kwa moja kwa hiyo hapo huna ujanja inabidi umpe chake.
Sasa hawa jamaa wa songea waliponiambia kuwa nilipe hiyo hela nikawaambia kuwa kwa vile wao wapo kwenye system wanjiajiri halafu mshaara wa kwanza ntawapatia wao wakakataa wakasema haiwezekani ndipo nilipogundua huu ni utapeli na bahati mbaya zaidi hata kampuni yenyewe haina hata website, kwa hiyo nikagundua huu ni usanii wa mjini
Nakushauri kama umepigiwa simu achana nao coz hao ni wababaishaji tulia ajira ipo tu lakini usipoteze hela yako kwa ajili ya hao jamaa.
Thanks
 
Hapo hakuna kazi ni utapeli..... mimi nilipigiwa simu jumatatu jioni nikaambiwa nitangulize sh laki 2 au laki moja na nusu ndipo nitakua na uhakika wa kupata ajira baada ya kutoa hiyo hela,....
Ni kweli kuwa unaweza kukuta ajira inauzwa lakini si kwa mfumo huo mara nyingi mtu anaetaka kukuuzia kazi anakuambia kuwa kazi utapata lakini umuhakikishie kuwa mshaara wa kwanza utakaoupata utamlipa hela yake then ukimuhakikishia anakuingiza kwenye mchakato coz nayeye mwenyew yuko kwenye system ukishapata ajira anongea na HR moja kwa moja kwa hiyo hapo huna ujanja inabidi umpe chake.
Sasa hawa jamaa wa songea waliponiambia kuwa nilipe hiyo hela nikawaambia kuwa kwa vile wao wapo kwenye system wanjiajiri halafu mshaara wa kwanza ntawapatia wao wakakataa wakasema haiwezekani ndipo nilipogundua huu ni utapeli na bahati mbaya zaidi hata kampuni yenyewe haina hata website, kwa hiyo nikagundua huu ni usanii wa mjini
Nakushauri kama umepigiwa simu achana nao coz hao ni wababaishaji tulia ajira ipo tu lakini usipoteze hela yako kwa ajili ya hao jamaa.
Thanks

Hao ni matapeli wakubwa!Hakuna ofisi itakayokuambia ulipe hela kwanza ndiyo upate kazi.hakuna rushwa inayoombwa namna hiyo. Kuna thread inaendelea ya kampuni fulani ya kutafutilia watu kazi.Icheki na shtuka!!!
 
Ok,hawa jamaa kweli sio,ngoja niende mgodini kwenyewe nikaulizie coz sio mbali sana na hapa nilipo. Thanks kwa ushirikiano wenu wadau
 
Kulikuwa na Bandiko hapa la kazi mgodini Songea,sasa kwa baadhi ya watu walioomba wameambiwa shortlist inaandaliwa na vigezo vya kuingia kwenye shortlist inahitajika utume Tsh Laki 6 (600,000), lakini kwa kuanzia inabidi uwatumie laki 2(200,000) halafu ukishaenda kwa inteview then inabidi uwalipe inayobaki ie laki 4(400,000).

JE kama kuna mwenye details zaidi atujuze hii kitu ipo sawa au wanaweza kuingia mkenge hawa watakaoanza kutuma hizo laki 2? Na hizi nafasi ( nyingi za Operators) zilitoka kwenye gazeti au ni kwenye internet pekee?? Manake mambo ya mtandao hapa usije ukaingia UPOPO.
Nawakilisha.
umbeya
 
Haloo wasomaji wa jamii forum, mimi ni mwanachama mgeni, nimekuwa nasoma makala mbalimbali zinazowasilishwa na wachangiaji mbalimbali. Asanteni sana kwa kunielimisha mpaka nikaona ni vyema nijiunge.

Kwa upande wa mada iliyo mbele yetu, naomba muhusika awe makini, kwani ajira hazipo hivyo. Binadamu anapambana zaidi katika ulimwengu wa mawazo kuliko katika ulimwengu wa nguvu na kuona kwa macho. Ndiyo maana ELIMU ni muhimu sana binadamu kuipata.

Matapeli wapo na wataendelea kuwepo, na viwango vyao vya kutapeli vitaendelea kuwa vya juu lakini unatakiwa kuwashinda na kupata kile kitu unachokihitaji bila kudhurika, na hata kama ni kwa kudhurika lakini usiumie sana
 
Kulikuwa na Bandiko hapa la kazi mgodini Songea,sasa kwa baadhi ya watu walioomba wameambiwa shortlist inaandaliwa na vigezo vya kuingia kwenye shortlist inahitajika utume Tsh Laki 6 (600,000), lakini kwa kuanzia inabidi uwatumie laki 2(200,000) halafu ukishaenda kwa inteview then inabidi uwalipe inayobaki ie laki 4(400,000).

JE kama kuna mwenye details zaidi atujuze hii kitu ipo sawa au wanaweza kuingia mkenge hawa watakaoanza kutuma hizo laki 2? Na hizi nafasi ( nyingi za Operators) zilitoka kwenye gazeti au ni kwenye internet pekee?? Manake mambo ya mtandao hapa usije ukaingia UPOPO.
Nawakilisha.
hao mabwana ni matapeli mimi nimeongea nao kwanza sayansi ndogo tu itatosha kujua hao ni changa kwa kuwa email yao inaishia gmail.com ukishaona mtu anashilikisha hela kisha email yake inaishia gmail.com ,yahoo.com,hotmail.com, n.k ujue hilo tego
 
Use ur common sense , wewe tangia umezaliwa ushawahi kuona nafasi za kazi zinauzwa?

Alikuwa akiuza mama mmoja pale Manispaa ya ILALA akiwa Afisa UTUMISHI MKUU...kwa laki 5, na wengi walichomolewa na kupata kazi ila sasa nasikia hayupo hapo.
 
Back
Top Bottom