Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Jana Maalim Seif alihutubia mkutano wa hadhara huko Zeinj na kuwashukuru wananchi wa huko kwa kile alichoita kuwezesha kuundwa kwa " serikali ya umoja wa kitaifa." Swali hapa, ni taifa gani hilo? Kwani mbali na watanzania, kuna taifa lingine nchini hapa? Kama hakuna, hivi hiyo serikali iliyoundwa huko Zenj, inayo hadhi ya kitaifa? Nakaribisha michango ya mawazo kwa mtu yeyote mwenye uelewa na suala hilo. Naomba niwakilishe.