Hili la Marehemu Steven Kanumba kufanyiwa MISA hp soweto A town cjui ina maana gani!

Ina maana sana Mungu ana huruma sana na wanavyomuombea anapokea sala zao tena watu wamejikusanya wa dini tofauti,wenye chuki walie tu coz watu na bahati zao! Ombeni nanyi iwe hivyo
 
Hapa Soweto mambo ni kama


ilivyoratibiwa wandugu!

Mi ningependa sana kujua huyu marehemu Kanumba alikuwa na nini!
 
Waabuduo shetwani wataenda, ila wakiombwa misa ya kuliombea taifa hutawaona, kwenye mikutano ya kampeni au kuhamasisha jambo la maendeleo ya jamii hutawaona, watu wamekuwa na akili dhaifu kama pipi hawatazami kitu kwa undani ni kurukia tu...
 
Itabidi uteletee uthibitisho, maana naona Kama haisaundi vile.
 
vipofu wawili wakiongozana upotea au kutumbukia katika shimo.baada ya kufa ni hukumu.MUNGU alimpa miaka 28 ya kutengeneza njia zake ndugu kama akuwez never ever usitegemee kwa maomb yako unaweza badilish hukumu ya MUNGU juu ya kanumba now anavuna alichopanda.

si kosa kumuombea mtu kwa mungu,ata wewe tutakuombea ata kama una lala kilabuni! na wewe ndio kipofu isiye jua mungu si athumani mpaka hasisamee! pengine mimi nawewe atu stahili kujadili maovu ya wengine maana inawezekana ni wachafu kuliko marehemu.atunabudi kumuomba mungu kila saa atusamehe dhambi zetu.
 
ubaya mbona waachen waombe mcitaka mciombe cuz cjaona kama wamesema ni lazima kila m2 aende.
 
si kosa kumuombea mtu kwa mungu,ata wewe tutakuombea ata kama una lala kilabuni! na wewe ndio kipofu isiye jua mungu si athumani mpaka hasisamee! pengine mimi nawewe atu stahili kujadili maovu ya wengine maana inawezekana ni wachafu kuliko marehemu.atunabudi kumuomba mungu kila saa atusamehe dhambi zetu.

ni kweli hakuna kosa kumuombea mtu kwa Mungu, lakini kuiombea nafsi mfu ni machukizo mbele za Mungu....period!
 
ameshakufa. Hakuna kinachoweza kubadili destination yake. Sanasana ni kufarijiana tu.
 
bora mzigo mkuu...hawa wamezidisha
Kuna wakati kuwalaumu watawala wetu kutokana na umaskini tulio nao ni kutowatendea haki, Taifa lililojaa wajinga kama hawa wafia Kanumba basi ni vigumu sana jamii ya namna hii kuwa na maisha bora.
 
Kumkumbuka mtu alokufa haitaji vikao kujadiliana na kujua eti alifanya nini. Lazma tukubali katika dunia hii kila mtu ananafasi yake na huo ndio umaarufu. Watu watakupenda kama unabahati ya kupendwa. Mwacheni kijana wetu ahenziwe au mpaka awe mzungu ama kweli nabii hawiki katika nchi yake. RIP KANUMBA THE GREATE.
 
Back
Top Bottom