LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Kutakuwepo na Misa ya kumwombea Marehemu tajwa hapo juu jumapili ya tar 15/04/2012 majira ya saa tatu ya asubuhi na kuendelea!
Misa hii itaendeshwa na dhehebu zote kuu mbili Nchini ya Dini (Kikrsto na Kiislamu).
Sijapata kuelewa maana haswa ya Misa hii ila nimejiwa na maulizo mengi kichwani baada ya kuinyaka hbr hii.
Source ni mmoja wa watumishi watakaoendesha ibada kesho hapo viwanja vya Soweto hapa A town!
Ntarudi!
Misa hii itaendeshwa na dhehebu zote kuu mbili Nchini ya Dini (Kikrsto na Kiislamu).
Sijapata kuelewa maana haswa ya Misa hii ila nimejiwa na maulizo mengi kichwani baada ya kuinyaka hbr hii.
Source ni mmoja wa watumishi watakaoendesha ibada kesho hapo viwanja vya Soweto hapa A town!
Ntarudi!