Chama cha mapinduzi kinaelekea ukingoni mwa maisha yake kisisa. Hii inatokana na ukweli kwamba chama hiki hakina umakini wowote na raia wake tena saula ambalo limewakatisha raia tamaa na si kukata tamaa tu balo wamechoshwa na mizengwe ya chama hiki kikongwe.
Chama hiki kimekuwa kikishabikia na kutekeleza mambo yasiyo na maslahi kwa raia wala kwa Tanzania, huku viongozi waking'ana'ania madarakani bila kuwajibika.
1.mikataba isiyo na maslahi kwa taifa
2.kutokuwajibika kwa viongozi wa ccm
3.kuiba kura
4.kutumia jeshi la polisi kama vibaraka woa
5.viongozi kusema uongo hadharani
6.kushindwa kudhibiti wawekezaji
7.kutaka kutengeneza katiba mpya kisanii.
Isitoshe hili la dowans kuuzwa wakati kuna kesi ya madai ya mabilioni ya fedha dhidi ya serikali
Tena Ngeleja na Pinda wakasimama kushinikiza malipo bila kuchelewa.
Rais naye akitoa kali ya mwaka kuwa hata hajawai kumsikia huyo dowansi kama vile haishi tanzania anaishi costa rika.Sasa anayeuza dowansi ni nana! tanesco, wizara ya nishati na madini , mahakama ua mmiliki wake.
Ua dowansi ameshalipwa ndo mana maisha yanakuwa magumu kiasi hiki. Manake waandishi wa habari waliacha dowansi wakakimbilia Loliondo.
HAYO YOYE YANAPIGILIA MISUMARI YA MWISHO KWENYE JENEZA LA CCM na CCM wakubali kuwa 2015 hawatarudi hata kwa wizi na endapo wataiba waangalie yasije yakawa yale ya Kenya 2007.
Chama hiki kimekuwa kikishabikia na kutekeleza mambo yasiyo na maslahi kwa raia wala kwa Tanzania, huku viongozi waking'ana'ania madarakani bila kuwajibika.
1.mikataba isiyo na maslahi kwa taifa
2.kutokuwajibika kwa viongozi wa ccm
3.kuiba kura
4.kutumia jeshi la polisi kama vibaraka woa
5.viongozi kusema uongo hadharani
6.kushindwa kudhibiti wawekezaji
7.kutaka kutengeneza katiba mpya kisanii.
Isitoshe hili la dowans kuuzwa wakati kuna kesi ya madai ya mabilioni ya fedha dhidi ya serikali
Tena Ngeleja na Pinda wakasimama kushinikiza malipo bila kuchelewa.
Rais naye akitoa kali ya mwaka kuwa hata hajawai kumsikia huyo dowansi kama vile haishi tanzania anaishi costa rika.Sasa anayeuza dowansi ni nana! tanesco, wizara ya nishati na madini , mahakama ua mmiliki wake.
Ua dowansi ameshalipwa ndo mana maisha yanakuwa magumu kiasi hiki. Manake waandishi wa habari waliacha dowansi wakakimbilia Loliondo.
HAYO YOYE YANAPIGILIA MISUMARI YA MWISHO KWENYE JENEZA LA CCM na CCM wakubali kuwa 2015 hawatarudi hata kwa wizi na endapo wataiba waangalie yasije yakawa yale ya Kenya 2007.