jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Ah mkuu uliposema upo kanda ya kaskazini, afu nilipoona hyo mijihela imekutoka nikajua tayari kijana wangu kakamatika....
Hiyo tuisahau, historia haikupi favour, hao watu hawana huo utamaduni wa kurejesha pesa!
Tutafakari option B.... Kaka mke wa Mtu noma bwana, mbona pande hyo kuna watoto wakali sana!
Hiyo tuisahau, historia haikupi favour, hao watu hawana huo utamaduni wa kurejesha pesa!
Tutafakari option B.... Kaka mke wa Mtu noma bwana, mbona pande hyo kuna watoto wakali sana!