sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,410
haleluyyah!
Ameni.
haleluyyah!
Honey! umenusurika na mafuriko? niliona mtu kama wewe anaokolewa jangwani anaelea juu ya tairi ya trekta.Marytina mie siku hizi nakufananisha sana na Nazjaz.( utanisamehe bt huo ndio ukweli halisi ) manake ukipotea ukirudi una story za ajabu, ajabu. Hazina tofauti na za Nazjaz.
Ameen Deskmate. Mbona hujaonekana shule? au ni mafuriko yamekuziwia?haleluyyah!
Nakusalim pia Sweet (o so sweet) Lady. hahahahaMwali mie nakusalimu tu.
:hungry::hungry::hungry:Navaa night dress kaka yangu. Hata kama kuna joto, ikiwa nalala na mtu, tena ugenini, nadhani ningevaa hata kanga basi...
Deskmate unaanza?:hungry::hungry::hungry:
Ameen Deskmate. Mbona hujaonekana shule? au ni mafuriko yamekuziwia?
sio lesbian bali niliteleza kwa kushawishiwa na mazingira
si utamaliza au?Deskmate unaanza?
Navaa night dress kaka yangu. Hata kama kuna joto, ikiwa nalala na mtu, tena ugenini, nadhani ningevaa hata kanga basi...
Kumbe wewe vile vile ni lesbian? ngoja niedit original post!!
Nimenusurika darlin'...najua maombi yako yamefanya kazi, endelea kuomba honey manake hali bado ni tete.Honey! umenusurika na mafuriko? niliona mtu kama wewe anaokolewa jangwani anaelea juu ya tairi ya trekta.
Pole sana. Hata hivo hatujaanza rasmi, tukianza nitakujulisha. Naona mwalim mwenyewe bado yupo busy na siasa.hehehe deskmate, wazembe wameiiba boda boda yangu
No. mbona unauliza maswali ya ndani sana? (blushing)Unavaaga pia sidiria ukiwa unaenda kulala?
No. mbona unauliza maswali ya ndani sana? (blushing)
Taratibu bana, wengine tuna majonzi vitanda vimesombwa na mafuriko...hata wanaofi...........rwa huwa wanasema hivo hivo.Ndo zako wewe,lakini usijali haya mambo ni common kabisa bongo.Just relax mpigie simu aje mfanye tena and then confess kwa bwanako Ole na umpe offer ya threesome,wewe,yeye na dadake,vikinoga akitaka amparamie dada yake,si ndo ulivyoamua kuishi,au?
Nimenusurika darlin'...najua maombi yako yamefanya kazi, endelea kuomba honey manake hali bado ni tete.
nahisi ile hali ya ku-blush ila ngozi yangu haibadili rangi sababu ni nyeusi.Are you really blushing?
Nimeona love, yaani haka kaujauzito tulivokesha kukatengeneza kangeharibika ingekuwa ni pigo kitaifa kama sio kimataifa....lolUmeona eeh? senk god kaujauzito ketu hakajaharibika.
nahisi ile hali ya ku-blush ila ngozi yangu haibadili rangi sababu ni nyeusi.
Hali yenyewe nahisi kama pumzi inaziba kwa ghafla, damu unapanda shingoni, inaendelea kwenye mashavu na maskio alafu mapigo ya moyo yanaenda harakaaa, huku najiuliza kama uligundua kinacho endelea kichwani mwangu baada ya wewe kuniuliza hivo.
Hahahahaha, haya bwana!Heheheeee hiyo inaitwa Ngabu Effect.