Mmmhhh, vichwa vingine bwana!!!kama kawaida analalamika bila point
urais nakuongea vitu 2 tofauti mm naona dk akaoe kwanza
Samahani kama nakosea nikisema una matatizo ya ubongo.urais nakuongea vitu 2 tofauti mm naona dk akaoe kwanza
hivi kikwete atakuwa anamwangalia maana roho yake itakuwa inamsuta kwa kukwaputa uraisi wa watu..
anaongelea bajeti
sure GosbNamsikiliza Dr. Slaa (PhD). Kwa kweli Dr. Slaa alipaswa awe rais wetu.
urais nakuongea vitu 2 tofauti mm naona dk akaoe kwanza
Analalamika bila point, duuuuh sijui unaangalia channel gani? Acha ubabaishaji kuwa mzalendo utakusaidia, mtu akifanya zuri msifu akikosea muonye. Kama huoni point za Dr. Slaa basi utakuwa shule ulipita haijakusaidia.kama kawaida analalamika bila point
anaongelea bajeti
nasubiria aseme analipwa kifisadi
Analalamika bila point, duuuuh sijui unaangalia channel gani? Acha ubabaishaji kuwa mzalendo utakusaidia, mtu akifanya zuri msifu akikosea muonye. Kama huoni point za Dr. Slaa basi utakuwa shule ulipita haijakusaidia.