babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 334
- 813
Yanga na Simba kwa nyakati tofauti zimewahi kulitawala soka la Tanzazni na kuwa na mafanikio makubwa, ila hatujawahi kuona mojawapo ya hizo timu zikitandaza soka maridadi kama la hawa vijana wa Gamondi.
Yanga ya Gamondi wanapiga mpira wa level za juu sana, Mpira mkubwa, mpira wa kiwango cha juu sana kiasi ambacho wapinzani kufungwa goli 5 wanaona ni kitu cha kawaida..
Uchezaji wa hii timu unaweza kuifananisha na ile barca ya pep ilipokuwa ikitawala soka la ulaya kwa kutandaza kabumbu maridadi sana
Hata kipofu atakubaliana namimi yakuwa kwa mpira huu unaopigwa na Yanga ya Gamondi, ndio mpira mtamu zaidi kuwahi kuonekana katika ardhi ya Tanzania.
Kama unakumbukumbu kuna timu yoyote imewahi kucheza soka tamu kama hili hebu tiririka hapo chini......
Yanga ya Gamondi wanapiga mpira wa level za juu sana, Mpira mkubwa, mpira wa kiwango cha juu sana kiasi ambacho wapinzani kufungwa goli 5 wanaona ni kitu cha kawaida..
Uchezaji wa hii timu unaweza kuifananisha na ile barca ya pep ilipokuwa ikitawala soka la ulaya kwa kutandaza kabumbu maridadi sana
Hata kipofu atakubaliana namimi yakuwa kwa mpira huu unaopigwa na Yanga ya Gamondi, ndio mpira mtamu zaidi kuwahi kuonekana katika ardhi ya Tanzania.
Kama unakumbukumbu kuna timu yoyote imewahi kucheza soka tamu kama hili hebu tiririka hapo chini......