Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
TUNAELEKEA WAPI?
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi?
Ndugu wale wanao jiandaa kuchagua ccm, jiulizeni, mnaipigia ccm ninayo ifahamu mimi ile aliyo iongoza Nyeree au mnapigia wezi wa fedha za nchi? wasio jail nchi. Hivi kweli JK kugawa fedha kwa huo mkutano wa Blue peal Ubungo si imedhihirika kuwa hajui anacho fanya?
JAMANI NAWAOMBA WATANZANIA MSIKOSEE KUCHAGUA HIKI CHAMA MAKE KUGAWA FEDHA INADHIHIRIKA KUWA KUNA NIA MBAYA YA KUANGAMIZA TAIFA NA KUBAKI MASIKINI. MWENYE SIKIO NA ASIKIE.
KURA YAKO ITAONESHA KUWA WANAO NA WAJUKUU HAWATAINONA ELIMU UKIKIPIGIA CCM MAKE PESA AMBAYO INGETUMIKA KULIPIA WATOTO WETU NDIYO INATUMIKA KUHONGA WAPIGA KURA.
MI NAONA GIZA CCM IKISHINDA.
HEBU ANGALIA KATUNI HII, PESA NDIKO ZINAKO TOKA ZA KUGAWIA WANA CCM.