Elections 2010 Hii ya kugawa fedha kuvunja makundi -ubungo imekaaje?

Nyange

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
3,516
1,865


TUNAELEKEA WAPI?
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi?

Ndugu wale wanao jiandaa kuchagua ccm, jiulizeni, mnaipigia ccm ninayo ifahamu mimi ile aliyo iongoza Nyeree au mnapigia wezi wa fedha za nchi? wasio jail nchi. Hivi kweli JK kugawa fedha kwa huo mkutano wa Blue peal Ubungo si imedhihirika kuwa hajui anacho fanya?

JAMANI NAWAOMBA WATANZANIA MSIKOSEE KUCHAGUA HIKI CHAMA MAKE KUGAWA FEDHA INADHIHIRIKA KUWA KUNA NIA MBAYA YA KUANGAMIZA TAIFA NA KUBAKI MASIKINI. MWENYE SIKIO NA ASIKIE.
KURA YAKO ITAONESHA KUWA WANAO NA WAJUKUU HAWATAINONA ELIMU UKIKIPIGIA CCM MAKE PESA AMBAYO INGETUMIKA KULIPIA WATOTO WETU NDIYO INATUMIKA KUHONGA WAPIGA KURA.
MI NAONA GIZA CCM IKISHINDA.

HEBU ANGALIA KATUNI HII, PESA NDIKO ZINAKO TOKA ZA KUGAWIA WANA CCM.


jamii.JPG
 
Usijali hao waliokula hizo hela na ndugu zao wa karibu wachache tu ndiyo wataipigia CCM kura wengineo wote Chadema:-

TUNAELEKEA WAPI?
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi?
 
Hizo pesa zinatoka wapi? Wakati wafanyakazi wa serikali wanadai malimbikizo lukuki? Huu ni ujambazi kabisa?

Yaani, we acha tu, kila mwenye fikra ajiulize kama wajukuu wetu elimu wataiona kwa mtindo huu hawa jamaa wakirudi madarakani. It is SAD
 
Very sad, lakini mwisho wake october 31. Watanzania naombeni tuonyeshe kazi ili hata muumba atupe moyo wa ujasiri bila kuogopa risasi wala virungu.
 
kila lenye mwanzo lina mwisho sasa dalili zinaonyesha kabisa ccm inaishia pabaya
 
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
[Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi Ndugu wale wanao jiandaa kuchagua ccm, jiulizeni, mnaipigia ccm ninayo ifahamu mimi ile aliyo iongoza Nyeree au mnapigia wezi wa fedha za nchi? wasio jail nchi. Hivi kweli JK kugawa fedha kwa huo mkutano wa Blue peal Ubungo si imedhihirika kuwa hajui anacho fanya? JAMANI NAWAOMBA WATANZANIA MSIKOSEE KUCHAGUA HIKI CHAMA MAKE KUGAWA FEDHA INADHIHIRIKA KUWA KUNA NIA MBAYA YA KUANGAMIZA TAIFA NA KUBAKI MASIKINI. MWENYE SIKIO NA ASIKIE.KURA YAKO ITAONESHA KUWA WANAO NA WAJUKUU HAWATAINONA ELIMU UKIKIPIGIA CCM MAKE PESA AMBAYO INGETUMIKA KULIPIA WATOTO WETU NDIYO INATUMIKA KUHONGA WAPIGA KURA.
MI NAONA GIZA CCM IKISHINDA.

wala usijali kuhusu makundi ya CCM, yale makundi yenu ndani ya CHADEMA yaLiyotokea kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA hivi yaliishaje? na je majina yaliyopitishwa ya wabunge wa viti maalum mbona hayatangazwi????? na je wajua vigezo vilivyotumia kupata hayo majina???? udini na ukabila vitaiangamiza CHADEMA lakini hatutakubali viangamize taifa
TOA BORITI LINALOKUANGAMIZA JICHONI MWAKO, ACHANA NA KIJITI KILICHO JICHONI MWA JIRANI YAKO.
 
Very sad, lakini mwisho wake october 31. Watanzania naombeni tuonyeshe kazi ili hata muumba atupe moyo wa ujasiri bila kuogopa risasi wala virungu.

'''''''BILA KUOGOPA RISASI WALA VIRUNGU'''''''
Kuwa wazi mzee what are you planning to do?????
THANKS A LOT MAANA MNADHIHIRISHA NINYI NI WATU WA AINA GANI.
Kinachonichekesha ni kwamba, mtapewa ruhusa ya kufuatilia kila hatua ya kuhesabu kura(no doubt), halafu matokeo yake hamtaamini na mtavunjika nguvu. nawahakikishia hamtaibiwa kura na mtashindwa kwa fedheha kubwa.
hebu jiulizeni,,, wako wapi wafuasi wa CCM mpaka mubaki peke yenu kuongea na kusikika???
LOL,, WENZENU WANAKUSANYA NGUVU NA KUJIPANGA ili wote100% waende kupiga kura wakiwa strong as ever. ninyi wapayukaji mtakuwa mmeshachoka by that time
 
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
[Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi Ndugu wale wanao jiandaa kuchagua ccm, jiulizeni, mnaipigia ccm ninayo ifahamu mimi ile aliyo iongoza Nyeree au mnapigia wezi wa fedha za nchi? wasio jail nchi. Hivi kweli JK kugawa fedha kwa huo mkutano wa Blue peal Ubungo si imedhihirika kuwa hajui anacho fanya? JAMANI NAWAOMBA WATANZANIA MSIKOSEE KUCHAGUA HIKI CHAMA MAKE KUGAWA FEDHA INADHIHIRIKA KUWA KUNA NIA MBAYA YA KUANGAMIZA TAIFA NA KUBAKI MASIKINI. MWENYE SIKIO NA ASIKIE.KURA YAKO ITAONESHA KUWA WANAO NA WAJUKUU HAWATAINONA ELIMU UKIKIPIGIA CCM MAKE PESA AMBAYO INGETUMIKA KULIPIA WATOTO WETU NDIYO INATUMIKA KUHONGA WAPIGA KURA.
MI NAONA GIZA CCM IKISHINDA.

wala usijali kuhusu makundi ya CCM, yale makundi yenu ndani ya CHADEMA yaLiyotokea kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA hivi yaliishaje? na je majina yaliyopitishwa ya wabunge wa viti maalum mbona hayatangazwi????? na je wajua vigezo vilivyotumia kupata hayo majina???? udini na ukabila vitaiangamiza CHADEMA lakini hatutakubali viangamize taifa
TOA BORITI LINALOKUANGAMIZA JICHONI MWAKO, ACHANA NA KIJITI KILICHO JICHONI MWA JIRANI YAKO.
Bora kuna mwelekeo mzuri wa kupata uongozi bila kutoa pesa. Hivi ccm ina maduka gani ya kutumia faida kugawa hizo pesa?
 
Du, jamani tuwe wa tunaongea bila ushabiki.
Nafikiri kujadili pesa wanazopewa watu kwenye vikao vya ndani ya Chama kwamba ni rushwa si haki.
Tungeiita rushwa kama ingekuwa ni kwenye kampeni au ni kikao kinachohusisha watu wa nje,yaani ambao si wanachama.
Kwa mawazo yangu hiyo naiona kama sitting allowance,mbona CHADEMA kwenye vikao vya ndani watu wanalipwa posho,je ni rushwa?
 
What if it was a sitting allowance for the kikao?

Have looked into this differently.

Kafanye research yako kwanza kabla ya kubandika hapa:hand:!!
 
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
[Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi Ndugu wale wanao jiandaa kuchagua ccm, jiulizeni, mnaipigia ccm ninayo ifahamu mimi ile aliyo iongoza Nyeree au mnapigia wezi wa fedha za nchi? wasio jail nchi. Hivi kweli JK kugawa fedha kwa huo mkutano wa Blue peal Ubungo si imedhihirika kuwa hajui anacho fanya? JAMANI NAWAOMBA WATANZANIA MSIKOSEE KUCHAGUA HIKI CHAMA MAKE KUGAWA FEDHA INADHIHIRIKA KUWA KUNA NIA MBAYA YA KUANGAMIZA TAIFA NA KUBAKI MASIKINI. MWENYE SIKIO NA ASIKIE.KURA YAKO ITAONESHA KUWA WANAO NA WAJUKUU HAWATAINONA ELIMU UKIKIPIGIA CCM MAKE PESA AMBAYO INGETUMIKA KULIPIA WATOTO WETU NDIYO INATUMIKA KUHONGA WAPIGA KURA.
MI NAONA GIZA CCM IKISHINDA.

wala usijali kuhusu makundi ya CCM, yale makundi yenu ndani ya CHADEMA yaLiyotokea kipindi cha uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA hivi yaliishaje? na je majina yaliyopitishwa ya wabunge wa viti maalum mbona hayatangazwi????? na je wajua vigezo vilivyotumia kupata hayo majina???? udini na ukabila vitaiangamiza CHADEMA lakini hatutakubali viangamize taifa
TOA BORITI LINALOKUANGAMIZA JICHONI MWAKO, ACHANA NA KIJITI KILICHO JICHONI MWA JIRANI YAKO.

CHAMA GANI KIMESHATANGAZA HAYO MAJINA YA vITI MAALUMU,?
 
Du, jamani tuwe wa tunaongea bila ushabiki.
Nafikiri kujadili pesa wanazopewa watu kwenye vikao vya ndani ya Chama kwamba ni rushwa si haki.
Tungeiita rushwa kama ingekuwa ni kwenye kampeni au ni kikao kinachohusisha watu wa nje,yaani ambao si wanachama.
Kwa mawazo yangu hiyo naiona kama sitting allowance,mbona CHADEMA kwenye vikao vya ndani watu wanalipwa posho,je ni rushwa?
kikao chenye posho kina majina, kutafuta watu wanaodhaniwa kupinga uteuzi na kuwapa fedha hiyo ni kuwahonga. hata hivo hakuna jina la kikao hicho. ni watu wakikusanywa tu wanao dhaniwa wanapinga uteuzi ili kulainishwa
 
What if it was a sitting allowance for the kikao?

Have looked into this differently.

Kafanye research yako kwanza kabla ya kubandika hapa:hand:!!
Usikurupuke na kutoa upupu, mi ni muelewa ninaye jua kuwa hiki ni kikao nahiki si kikao bali ni kampeni. walio husika kwenye kikao ni watu kutoa maeneo mbalimblai wanao pinga uteuzi wa aliye pitishwa. si wajumbe maalum au wawakilishi bali ni watu wenye influence na aliye shindwa. Sasa kudai kuwa ni posho! hii ni aibu. Posho zinaendana na mpangilio wa vikao na wadau, na si kutafuta baadhi ya watu na kuwamiminia fedha huku ukidai ni posho. Hivi we huwezi kutofautisha kati ya posho na rushwa!

Kweli wajinga ndio waliwao
 
kweli NYUNYU,huyu bwana naona amekurupuka.

Aliye kurupuka ni yule anayeshindwa kutofautisha posho na rushwa. Yaani hujui kuwa si kila mkusanyiko , au kikao lazima kiwe na malipo? ndo maana mnashindwa kujua kuwa fedha ambazo zingeingia kwenye miradi, zinalipa upuuzi huu!
 
tatizo wanaJF ni wasiri mno kama nini vile
hizi habari zinapaswa kupelekwa nyikani na kuwasha nyasi kavu na matokeo mtayaona
 
kikao chenye posho kina majina, kutafuta watu wanaodhaniwa kupinga uteuzi na kuwapa fedha hiyo ni kuwahonga. hata hivo hakuna jina la kikao hicho. ni watu wakikusanywa tu wanao dhaniwa wanapinga uteuzi ili kulainishwa


unaweza ukadhibitisha kama kile kikao hakikuwa na orodha ya waliohudhuria?
 


TUNAELEKEA WAPI?
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa zimetoka wapi?

Ndugu wale wanao jiandaa kuchagua ccm, jiulizeni, mnaipigia ccm ninayo ifahamu mimi ile aliyo iongoza Nyeree au mnapigia wezi wa fedha za nchi? wasio jail nchi. Hivi kweli JK kugawa fedha kwa huo mkutano wa Blue peal Ubungo si imedhihirika kuwa hajui anacho fanya?

JAMANI NAWAOMBA WATANZANIA MSIKOSEE KUCHAGUA HIKI CHAMA MAKE KUGAWA FEDHA INADHIHIRIKA KUWA KUNA NIA MBAYA YA KUANGAMIZA TAIFA NA KUBAKI MASIKINI. MWENYE SIKIO NA ASIKIE.
KURA YAKO ITAONESHA KUWA WANAO NA WAJUKUU HAWATAINONA ELIMU UKIKIPIGIA CCM MAKE PESA AMBAYO INGETUMIKA KULIPIA WATOTO WETU NDIYO INATUMIKA KUHONGA WAPIGA KURA.
MI NAONA GIZA CCM IKISHINDA.

HEBU ANGALIA KATUNI HII, PESA NDIKO ZINAKO TOKA ZA KUGAWIA WANA CCM.


View attachment 14935
haishangazi mkuu

tulikua huko tangu before... its just getting worse
 
Back
Top Bottom