Aliye kurupuka ni yule anayeshindwa kutofautisha posho na rushwa. Yaani hujui kuwa si kila mkusanyiko , au kikao lazima kiwe na malipo? ndo maana mnashindwa kujua kuwa fedha ambazo zingeingia kwenye miradi, zinalipa upuuzi huu!
Du, jamani tuwe wa tunaongea bila ushabiki.
Nafikiri kujadili pesa wanazopewa watu kwenye vikao vya ndani ya Chama kwamba ni rushwa si haki.
Tungeiita rushwa kama ingekuwa ni kwenye kampeni au ni kikao kinachohusisha watu wa nje,yaani ambao si wanachama.
Kwa mawazo yangu hiyo naiona kama sitting allowance,mbona CHADEMA kwenye vikao vya ndani watu wanalipwa posho,je ni rushwa?
What if it was a sitting allowance for the kikao?
Have looked into this differently.
Kafanye research yako kwanza kabla ya kubandika hapa:hand:!!
Usikurupuke na kutoa upupu, mi ni muelewa ninaye jua kuwa hiki ni kikao nahiki si kikao bali ni kampeni. walio husika kwenye kikao ni watu kutoa maeneo mbalimblai wanao pinga uteuzi wa aliye pitishwa. si wajumbe maalum au wawakilishi bali ni watu wenye influence na aliye shindwa. Sasa kudai kuwa ni posho! hii ni aibu. Posho zinaendana na mpangilio wa vikao na wadau, na si kutafuta baadhi ya watu na kuwamiminia fedha huku ukidai ni posho. Hivi we huwezi kutofautisha kati ya posho na rushwa!
Kweli wajinga ndio waliwao