katibu ndani bado yeye
Apparently huyu jamaa ni longtime second hand man na mshirika wake wa muda mrefu. Sasa inawezekana baada ya mh! kuungama kuacha tena kujihusisha na hizi kazi kumbe swahiba wake alikuwa bado anaendelea kisirisiri.
Ninamhurumia sana Kamanda Lema,maana alipashwa awe ameshafanya homework ya kutosha...huyu jamaa anaweza kumharibia sana hasa ukizingatia yeye ni waziri kivuli wa mambo ya ndani. Kaazi kweli kweli.