Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Miaka 12 ni mengi sana kwa sisi wataalam wa mahusiano. Watakapofika mwanaume ni 50 plus na mke ni 38 plus hapo ndiyo matatizo yanaanza. Mwanaume kama huli vizuri kwa afya, nguvu zinakuwa down na kwa mwanamke ni hot kabisa kipindi hicho. Hivyo jiandae kuwa rafiki wa Viagra vingnevyo vijana watakusaidia!!!