wadau hii tabia huwa inanikera kichizi! wadau mnaionaje? au ni ushamba wangu mjini?
inakera
tena sana hasa ukimuona bibi anafagia wewe unatupa pakiti ya biskuti au ice cream za azam bora hata utupe chupa watu wataokota..
Misijawahi tupa bana, nashikia mkonono na kama nichupa naweka kwenye gari wao wnwjua sehemu nzuri ya kupeleka, nimeona baadhi ya magari ya mikoani siku hizi yana distbin ila watumiaji bado wachache, hebu fikiria unakula muhindi ukimaliza ghafla unaona gunzi ni uchafu usiovumilika hata dakika moja unatupa dirishani sasa inamaana ulikuwa unakula mahindi kutoka kwenye uchafu?Pamoja na kuwa inakera lakini ndio ishazoeleka hivyo. Hata wewe naamini umeshawahi kutupa kitu dirishani mwa daladala.
aise huyo jamaa harudii tena, vipi hakuwa na gun? maana siku hizi sijui zimeshuka bei au watz ndio wamekuwa na hela!Samahani kidogo naomba kuweka angalizo lenye msisitizo.Sio watumia daladala peke yake wanaotupa vitu kupitia madirishani hata hao mnaowafikiria wako 'civilized' kwenye VX zao wanatupa pia.
Last week kuna mwehu fulani kwenye foleni pale makutano ya uhuru na msimbazi alitupa container kubwa la Ice-cream alikuwa kwenye Hilux mayai(double cabin) full kiyoyozi(hawa mnawaonaga wastaarabu kumbe vijihela vinawasitiri)ikabidi niliokote nilirudishe kule nyuma paliko wazi akashuka kwenye gari huku akimwaga matusi utafikiri mpiga kampeni wa CCM kumbe pembeni alikuwa amesimama traffic police akamwambia rudi kwenye gari lako haraka akarudi anatweta kwa hasira.
Jamii yote ya watanzania imefanya urafiki na tabia hii ya ajabu.Tubadilike jamani.
tena sana hasa ukimuona bibi anafagia wewe unatupa pakiti ya biskuti au ice cream za azam bora hata utupe chupa watu wataokota..
aise huyo jamaa harudii tena, vipi hakuwa na gun? maana siku hizi sijui zimeshuka bei au watz ndio wamekuwa na hela!
Hahahaha, unasema tu, now that he is far from you.Gun atoe wapi mkuu??Alikuwa bonge fulani hivi nyama uzembe wa kutembea anakula ice-cream njiani sanasana angenivamia hovyohovyo na i would've knocked his lazy bu*t all the way to ICU then start my KS and vanish.Usicheze na jogoo wa kienyeji.