Hii si sawa: Majaji wajiandaa kuandika hukumu ya wahujumu uchumi kwa maelekezo ya Rais Magufuli

Mkuu hebu tuweke sawa.rais alisema yuko tayari kuipa fedha mahakama.lakini akatoa condition kuwa fedha trilioni moja zipatikane baada ya kutoa hukumu ya wakwepa kodi.tens aliagiza fedha zitolewe ndani ya siku 5 na akaahidi atatoa 250 billion baada ya kupatikana trillion 1. Sasa hebu nisaidie baada ya rais kuongea hivyo unategemea kuna jaji atahukumu kinyume na matarajio ya rais? Tuwe wakweli jamani hapa haki haitatendeka wapo watakaoonewa.
Natumaini hizo kesi zilikuwa zimekaa muda mrefu bila ya kutolewa hukumu, kilichomkera rais ni mizengwe inayoingizwa ili kesi zikae muda mrefu halafu hakuna anayefaidika. Katoa hizo pesa baada ya kuambiwa na jaji mkuu, Yeye angejuaje kuwa inahitajika shilingi bilioni 12.5 ili kesi ziweze kushughulikiwa kama asingeambiwa na jaji mkuu?. Kumbuka kuwa rais aliandikiwa risala ambayo hakutaka kuisoma, alikuwa na dukuduku zake nyingi tu ambazo aliona ule ulikuwa ni muda muafaka kuziwasilisha.
 
Wakuu habari,

Jana katika taarifa ya habari ilitangazwa kuwa tayari fedha bilioni 12.5 zimekabidhiwa kwa mahakama kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za mahakama.

Takribani wiki moja imepita sasa tangu rais atoe maelekezo kwa mhimili wa mahakama kuwa wote waliotuhumiwa kuhusika na ukwepaji kodi washughulikiwe na pesa zipatikane kiasi cha Tsh. Trillion moja.

Naungana na mh.rais katika wazo lake la kuwahukumu wote waliohusika na ukwepaji kodi lakini tujiulize, je, majaji au mahakimu wanaweza kutoa hukumu kinyume na matakwa ya rais?

Tayari rais ameshatoa hukumu kinyume na matakwa ya kisheria.

Nachelea kusema kuwa mhimili wa mahakama kwa sasa umeingiliwa na tayari mahakama haiko huru kushughulikia suala hili.

Rais amepitiliza sana kitendo cha kushawishi majaji kutoa hukumu hakikubaliki katika serikali yoyote inayofuata misingi ya haki za kibinadamu na utawala wa sheria.
Iko sawa kabisa hakuna shaka, Muungwana unashangaa kesi kupewa msukumo ziishe hushangai zimekaa miaka haziishi kuna kesi za Epa za kina Patel mpaka mafaili yana utandabui kina flani walizionea haya wakaziacha na watu walisema kabla hazi tolewi hukumu hizi mpaka awamu iishe wacha ziishe ndugu yangu,otherwise ukizungumzia hukumu alisema wazi wenye kazi hiyo Duniani ni Majaji na Mahakimu sikumsikia akijitaja kuhukumu au pengine ni alivyo sema wahukumiwe walipe kodi? ujue kuwa rais ana wanasheria akiwemo mwanasheria mkuu ambao kama ameongea vile walimpa ushauri juu ya hizo kesi hakulitoa hewani na alikiri kabla kuwa yeye si mwanasheria,kwani fedha hiyo ikirudi ndugu yangu hutafaidika nayo?hukusikia mikakati yake ya kurudisha hadhi ya ATC, IN SHORT HAJA HUKUMU.
 
Inahitaji busara na maarifa kujua Ni kipi Magufuli alikisema na uhalisia WA utendaji WA mahakama zetu.Mahakama mpaka itoe hukumu,inao wadau inaowategemea.Ndo maana rais alisisitiza wadau wengine wasaidie mahakama ili ifikie maamuzi ya haraka na haki.Hamna kesi mahakama itahukumu kama hakuna upelelezi kamili ambapo Dpp anahusika au mwanasheria Mkuu.Aina ya ushahidi na utayari WA serikali yenyewe ndo suluhisho kubwa kufikia hukumu ya haki.

Ni wazi kuwa kuboresha kwa kutoa hela kwaa mahakama peke yake ,bila kuangalia vitengo vingine husika,bado Kuna ugumu mkubwa.

Utendaji WA wapelelezi,waendesha mashtaka,mawakili WA serikali nk ndo kiashiria cha ushindi WA serikali.Mara nyingi serikali imekuwa ikishindwa kwa sababu ya maaandalizi yasiyo mazuri.

Majaji PIA wanafahamu hawawezi kujiingiza kwenye upendeleo wowote,na isitoshe mahakama moja inapotoa hukumu SI kigezo kwamba ndo nwisho WA kesi.

Ni vema wadau na pande zote wajipange na haki ipatikane bila kuacha wasiwasi pnde zote.
 
Mkuu mbona povu linakutoka kwa speed ya 120 ukweli mahakaman ndio waliokuwa wanachelewesha kesi kesi inafika miaka miwili mpaka mtu anakata tamaa lkan now naona watafanya Kazi inavyotakiwa na cc tunahitaji hyo tririon moja tufanye mambo ya msingi
 
Ha ha ha sasa hapo kuna watu watasaga meno.siku ile nilibahatika kuangalia hotuba ya rais aliyemaliza muda wake mheshimiwa Kikwete,aisee kuna kitu nilikiona hakiko sawa na mheshimiwa siku ile,kwa kawaida Kikwete anapotoa hotuba huwa ni mtu mcheshi na mizaha mizaha sana,lkn siku ile alikuwa siriaz isivyo na kawaida,nilijua tu kuna jambo zito nyuma yake,kuna wakati ilikuwa kama anatoa amri kwa rais wa sasa Dr Magufuli kuhusiana na utekelezaji wa ilani ya CCM.Sasa limeibuka hili la rais kuiagiza mahakama kuwashughulikia wakwepaji kodi na kuikabidhi mahakama kiasi cha shilingi bilioni 12,anyway ngoja tuone.
UDA UDA UDA UDA UDA UDA
 
Ha ha ha sasa hapo kuna watu watasaga meno.siku ile nilibahatika kuangalia hotuba ya rais aliyemaliza muda wake mheshimiwa Kikwete,aisee kuna kitu nilikiona hakiko sawa na mheshimiwa siku ile,kwa kawaida Kikwete anapotoa hotuba huwa ni mtu mcheshi na mizaha mizaha sana,lkn siku ile alikuwa siriaz isivyo na kawaida,nilijua tu kuna jambo zito nyuma yake,kuna wakati ilikuwa kama anatoa amri kwa rais wa sasa Dr Magufuli kuhusiana na utekelezaji wa ilani ya CCM.Sasa limeibuka hili la rais kuiagiza mahakama kuwashughulikia wakwepaji kodi na kuikabidhi mahakama kiasi cha shilingi bilioni 12,anyway ngoja tuone.
Yule mmiliki wa uda mwenyeji wa msoga vipi atapona?
 
Majaji wamesoma wewe.Kwa hiyo unategemea kukuta hukumu imeandikwa "MIMI JAJI X nakuhukumu wewe fisadi jela miaka 50 kutekeleza agizo la rais"? Jaji atamhukumu kwa vifungu vya sheria na ushahidi uliopo.Naona wewe ni fisadi umeshapanic. Pesa wamepewa kesi zako jiandae.

Hela hizo kawapa ziwasaidie mfano kulipa tiketi nk kwenda kuendesha hayo mashauri na gharama za mahakama zilizokuwa zinashindwa kufanyika sababu ya ukosefu wa pesa.

Kwangu mimi kuinyima mahakama uhuru wake ni pamoja na kuinyima mahakama pesa za kufanya kazi zake.Kawapa ili wafanye kazi zao.Anaheshimu uhuru wao ndio maana kawapa angetaka kubana uhuru wa mahakama asingewapa .
1455019816498.jpg

Kwenye ubora wako
 
Wakuu habari,

Jana katika taarifa ya habari ilitangazwa kuwa tayari fedha bilioni 12.5 zimekabidhiwa kwa mahakama kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za mahakama.

Takribani wiki moja imepita sasa tangu rais atoe maelekezo kwa mhimili wa mahakama kuwa wote waliotuhumiwa kuhusika na ukwepaji kodi washughulikiwe na pesa zipatikane kiasi cha Tsh. Trillion moja.

Naungana na mh.rais katika wazo lake la kuwahukumu wote waliohusika na ukwepaji kodi lakini tujiulize, je, majaji au mahakimu wanaweza kutoa hukumu kinyume na matakwa ya rais?

Tayari rais ameshatoa hukumu kinyume na matakwa ya kisheria.

Nachelea kusema kuwa mhimili wa mahakama kwa sasa umeingiliwa na tayari mahakama haiko huru kushughulikia suala hili.

Rais amepitiliza sana kitendo cha kushawishi majaji kutoa hukumu hakikubaliki katika serikali yoyote inayofuata misingi ya haki za kibinadamu na utawala wa sheria.
wasiwasi wa nini una ndugu miongoni mwa wahalifu?
 
Wakuu habari,

Jana katika taarifa ya habari ilitangazwa kuwa tayari fedha bilioni 12.5 zimekabidhiwa kwa mahakama kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za mahakama.

Takribani wiki moja imepita sasa tangu rais atoe maelekezo kwa mhimili wa mahakama kuwa wote waliotuhumiwa kuhusika na ukwepaji kodi washughulikiwe na pesa zipatikane kiasi cha Tsh. Trillion moja.

Naungana na mh.rais katika wazo lake la kuwahukumu wote waliohusika na ukwepaji kodi lakini tujiulize, je, majaji au mahakimu wanaweza kutoa hukumu kinyume na matakwa ya rais?

Tayari rais ameshatoa hukumu kinyume na matakwa ya kisheria.

Nachelea kusema kuwa mhimili wa mahakama kwa sasa umeingiliwa na tayari mahakama haiko huru kushughulikia suala hili.

Rais amepitiliza sana kitendo cha kushawishi majaji kutoa hukumu hakikubaliki katika serikali yoyote inayofuata misingi ya haki za kibinadamu na utawala wa sheria.
Kwenye red sidhani kama ni kweli, rais hakutoa maelezo, yeye haiagizi mahakama.
Hiyo ni tafsiri yako ila usiseme alitoa maelezo. Kamsikilize upya alisemaje!
 
Majaji wamesoma wewe.Kwa hiyo unategemea kukuta hukumu imeandikwa "MIMI JAJI X nakuhukumu wewe fisadi jela miaka 50 kutekeleza agizo la rais"? Jaji atamhukumu kwa vifungu vya sheria na ushahidi uliopo.Naona wewe ni fisadi umeshapanic. Pesa wamepewa kesi zako jiandae.

Hela hizo kawapa ziwasaidie mfano kulipa tiketi nk kwenda kuendesha hayo mashauri na gharama za mahakama zilizokuwa zinashindwa kufanyika sababu ya ukosefu wa pesa.

Kwangu mimi kuinyima mahakama uhuru wake ni pamoja na kuinyima mahakama pesa za kufanya kazi zake.Kawapa ili wafanye kazi zao.Anaheshimu uhuru wao ndio maana kawapa angetaka kubana uhuru wa mahakama asingewapa .
Anayeheshimu uhuru wa Mahakama ni yule anayetoa pesa za kuwezesha Mahakama kufanya kazi bila kuingiliwa na mafisadi...heko YEHODAYA
 
hahaha hapo ndo utajua kuwa kunawatu wanafiki sana nchi hii, mafisad walipokua hswashughulikiwa watu flan wakasema serikal ya CCM, inakumbatia mafisadi, wameamriwa washughulikiwe? watanzania jao hao wanakuja na msemo sheria mambo uhuru kuingiliwa, kwan rais amesema hukum itolewe ya aina 1 tu kufungwa? hata kama utapatikana huna kosa? achen unafiki, naona sasa ubao umegeuka mnatetea mafisad badala ya kukemea kama kipind kilichopita......
Kwa hiyo kwa akili yako na upeo wako wa kufikiri kuna fisadi atahukumiwa? Kama Change tu ni fisadi ambaye ameshiriki kashfa zote kubwa zilizotokea ndani ya nchi na kulisababishia hasara Taifa leo hii ni mwenyekiti wa Bunge kupitia CCM ni mtakatifu mbele ya CCM na Magufuli je kuna fisadi atashitakiwa?
 
Wakuu habari,

Jana katika taarifa ya habari ilitangazwa kuwa tayari fedha bilioni 12.5 zimekabidhiwa kwa mahakama kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za mahakama.

Takribani wiki moja imepita sasa tangu rais atoe maelekezo kwa mhimili wa mahakama kuwa wote waliotuhumiwa kuhusika na ukwepaji kodi washughulikiwe na pesa zipatikane kiasi cha Tsh. Trillion moja.

Naungana na mh.rais katika wazo lake la kuwahukumu wote waliohusika na ukwepaji kodi lakini tujiulize, je, majaji au mahakimu wanaweza kutoa hukumu kinyume na matakwa ya rais?

Tayari rais ameshatoa hukumu kinyume na matakwa ya kisheria.

Nachelea kusema kuwa mhimili wa mahakama kwa sasa umeingiliwa na tayari mahakama haiko huru kushughulikia suala hili.

Rais amepitiliza sana kitendo cha kushawishi majaji kutoa hukumu hakikubaliki katika serikali yoyote inayofuata misingi ya haki za kibinadamu na utawala wa sheria.
Hayo ni mawazo yako mafupi, kama hata wewe mwenyewe umewaita wahujumu uchumi basi kuna haja gani ulalamike wakihukumiwa wakafungwa na kurudisha kodi yetu waliyojikwapulia?!
 
Huwezi kuwa fisadi mpaka itapodhibitishwa kuwa ni fisadi,then rais anasema mahakama zihukumu mafisadi haraka,mi sioni tatizo hapo.
 
Wakuu habari,

Jana katika taarifa ya habari ilitangazwa kuwa tayari fedha bilioni 12.5 zimekabidhiwa kwa mahakama kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za mahakama.

Takribani wiki moja imepita sasa tangu rais atoe maelekezo kwa mhimili wa mahakama kuwa wote waliotuhumiwa kuhusika na ukwepaji kodi washughulikiwe na pesa zipatikane kiasi cha Tsh. Trillion moja.

Naungana na mh.rais katika wazo lake la kuwahukumu wote waliohusika na ukwepaji kodi lakini tujiulize, je, majaji au mahakimu wanaweza kutoa hukumu kinyume na matakwa ya rais?

Tayari rais ameshatoa hukumu kinyume na matakwa ya kisheria.

Nachelea kusema kuwa mhimili wa mahakama kwa sasa umeingiliwa na tayari mahakama haiko huru kushughulikia suala hili.

Rais amepitiliza sana kitendo cha kushawishi majaji kutoa hukumu hakikubaliki katika serikali yoyote inayofuata misingi ya haki za kibinadamu na utawala wa sheria.

Magufuli ameingiliaje uhuru wa mahakama?
 
Back
Top Bottom