Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
MADAKTARI, WAGONJWA; MAKUTANO NI LOLIONDO KWA BABU
"Niliondoka na wenzangu baada ya kujipanga kwenda kupata tiba baada ya kuhangaikia kwa muda mrefu Muhimbili. Kufika huko mimi na wenzangu tulikutana na dokta wetu ambaye baada ya kusalimiana naye tu alituambia mpeni Mungu yaliyo yake Mungu na ya Kaisari mpeni Kaisari," alisema.
Angalizo: Sasa kama mpaka madaktari wanatelekeza hospitali kwenda kwa babu, inabidi tumchukue babu aje kutibu muhimbili!!!
"Niliondoka na wenzangu baada ya kujipanga kwenda kupata tiba baada ya kuhangaikia kwa muda mrefu Muhimbili. Kufika huko mimi na wenzangu tulikutana na dokta wetu ambaye baada ya kusalimiana naye tu alituambia mpeni Mungu yaliyo yake Mungu na ya Kaisari mpeni Kaisari," alisema.
Angalizo: Sasa kama mpaka madaktari wanatelekeza hospitali kwenda kwa babu, inabidi tumchukue babu aje kutibu muhimbili!!!