Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Rafiki yangu akiwa kazini, huku nyumbani mijamaa ikaingia kwake na kuiba TV yake,
Kufanya utafiti mwizi kakamatwa, kesi ikaunguluma, na hukumu ikatoka kuwa mwizi afungwe miaka 3 na akitoka anunue TV amlipe mdai,
Je, ni sahihi mpaka atoke ndo amlipe, ni kwanini asiuze mali zake akanunua kabla ya kifungo
Akitoka atakuwa ana shughuli gani ya kumuwezesha kununua hiyo TV?, na mdai aendelee kusubili mpaka miaka 3 iishe kweli au afanyeje?
Sheria hii iko sawa?
Kufanya utafiti mwizi kakamatwa, kesi ikaunguluma, na hukumu ikatoka kuwa mwizi afungwe miaka 3 na akitoka anunue TV amlipe mdai,
Je, ni sahihi mpaka atoke ndo amlipe, ni kwanini asiuze mali zake akanunua kabla ya kifungo
Akitoka atakuwa ana shughuli gani ya kumuwezesha kununua hiyo TV?, na mdai aendelee kusubili mpaka miaka 3 iishe kweli au afanyeje?
Sheria hii iko sawa?