Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Kitendo cha ccm kujivua magamba nakuanza kujiandaa na uchaguzi wa 2015 badala ya kujenga nchi na kupunguza makali ya ugumu wa maisha sioni kama ni sahihi?sasa hivi bei ya petrol imefika 2100tsh ,sukari 1kg 2000,nk hapa dsm sijui huko mikoani.maswala ya kutuambia kwamba mafisadi hawatagombe 2015 hayatusaidi kwa sasa sisi tunataka tuone mabadiliko kiuchumi sio kwenye vyombo vya habari.naomba kuwasilisha