hizi tetesi za siku hizi hapa jamvini haziaminiki kabisa, mimi sijui wapi watu wanaleta hizi habari.tafadhalini msidhalilishe jamvi likawa kama mageziti ya udaku wakati humu wapo wasomi tupu.
Subirini Kurugenzi ya Ikulu itakavyokuja kuwakingia kifua Mafisadi
Jamani tuache udaku na magazeti uchwara,Mpaka mtu afe ndo uamini au mtu augue ghafla kama Mwakyembe ndo uanze kuanini
Niliyatarajia haya kwani magamba hawampendi mtu yeyote anayekwenda kinyume na interest zao.Source tz daima
Wabunge wawili kati ya wanne walio tia saini ya kutokuwa na imani na waziri mkuu wametishiwa maisha na mafisadi ikiwa ni nje ya vitisho vya kuvuana magamba ndani ya NEC.
Mtu aje hapa kutetea Mafisadi Nitamtukana matusi ya Nguoni yale ya Lusinde cha mtoto cha mtoto, tena mtoto wa siku moja.