Nimeota nipo nyumbani kwetu nimekaa na mpenzi wngu wa zamani na marehemu kaka yangu tunaongea kwa furaha huku tunacheka nini tafsiri yake?
Washauri wako wote hawajui kitu wa hapo juu ndio maana wanakuponda na wala hawajajubu cha maana.
Kwa upande wangu sina data .
neutrality is a sign of intellectual buncraptcy
mpenzi wa zamani = past
marehemu kaka = past
tafsiri = umeota mambo ya past!!!!
kakako obviously mlipendana kama ndugu
mpenzi wa zamani obviously mlipitia good tymes kabla hamjaachana
kuota mnacheka tafsiri = umekumbuka nyakati zenu za furaha
General tafsiri = umeota nyakati za furaha ulizowahi kupitia ukiwa na kaka na ex-mpenzi
Do you need a PHD to know such a tafsiri?
Mambo ya ndoto yana details nyingi pia ayahiaji PHD yanahitaji attachment katika ulimwengu wa kiroho weather wa nuru au wa giza.
MImI napita tu
kwa mtu anayeamini kila ndoto ina maana sawa
kwa anayejua kuwa 95% ya ndoto ni mambo tuliyowaza kabla na yale yaliyo-accumulate kwenye memory zetu atakuwa na different opinion
Ndoto yenye maana na ainayohitaji tafsiri ni ile ambayo kwa njia flani Mungu anakufunulia kitu flani...otherwise ni just ndoto in its plain sense
mwanangu kila akinikwepa na kuangalia movie za kutisha basi tegemea usiku kucha atakuwa anaweweseka na kupiga kelele..it will be plain foolish kutafuta tafsiri ya ndoto zake
Sidhani kama ile ndoto ambayo Joseph alimtafsiria Farao ilikuwa ya kwanza katika maisha ya Farao!!!!!
Na nimekumbuka...usiku nimeota Chelsea inamsainisha Arturo Vidal...tafsiri tafadhali!!!!!!!
Ndio maana nikakwambia kuna ndoto za ulimwengu wa giza ambazo ni za shetani na za ulimwengu wa Nuru ambazo ni za Mungu.
Unapoota jambo jema na zuri inakupasa uamke na kuliombea jambo hilo litokee kweli kimwili.
Unapoota ndoto mbaya unaamka na kuvunja roho hiyo kwa damu ya Yesu.
Pia inakupasa kujua kuna ndoto za kawaida kabisa unajua kabisa this ndoto is bcoz ya kufikiria jambo na ndoto source yake haifahamiki na inaleta maana ambazo uzipatii jawabu.
Pia Mungu utuonesha mambo mengi kwa kupitia ndoto na evn njozi same applied to Pharao.Pia shetani amemcopy mambo mengi kutoka kwa Mungu pia utumia ndoto kukuonesha mambo yake.
Jaribu kujifunza vitu hacha kutumia fikra zako pekee.
Twenzetu mkuu hawa naona wanatuzingua tuu
Kama kuota mi nishaota sana.... na sioni umuhimu wake
Wiki iliyopita niliota namgegeda Beyonce
Siku mbili badae nikaota nimenunua gari zuriii BMW 320
Jna nimeota nipo kwenye jumba la kifahari na swimming pool ndani
Leo nimeota nipo jalalani nachakurachakura kama kuku kujitaftia riziki sasa embu nambie uhalisia uko wapi hapo?