Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Kama kitu huna uhakika nacho, basi ni vyema ukajinyamazia tu kimya. Sawa Sheikh?

Maana kuna watu wanaweza kukuona una ufinyu wa akili/maarifa! Kumbe ni bahati mbaya tu huna uelewa na hicho kitu.
Screenshot_20230906-122647.png
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Tumsifu Yesu Kristu! Kama nilivyosema hapo awali. Mimi nitabakia daima kwenye imani yangu. Na kamwe siwezi kushawishika na imani ya watu wengine wa Mataifa.
utabaki na imani ya katoliki, ila sio imani ya Yesu Kristo. kanisa lako hata ukisema ni la mitume, ukweli ni kwamba, imani na maisha waliyokuwa nayo mitume, sio maisha na imani mliyonayo ninyi sasa. kanisa hili halireflect chochote cha mitume.
 
nasubuiri ukiota ndoto inayohusu waabudu sanamu utupe mrejesho?
naona umekimbilia uislamuni ili ujihakikishie kua na mabikra 70 peponi.
 
utabaki na imani ya katoliki, ila sio imani ya Yesu Kristo. kanisa lako hata ukisema ni la mitume, ukweli ni kwamba, imani na maisha waliyokuwa nayo mitume, sio maisha na imani mliyonayo ninyi sasa. kanisa hili halireflect chochote cha mitume.
Wewe wasema
 
hiyo ilikuwa ni ndoto toka kwa shetani mwenyewe, umepoteza focus na kitu kikubwa sana maishani mwako, kuna siku utakuja kujuta. lakini hata hivyo una nafasi ya kubadilika na umkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako, uokoke kwasababu dhambi ya kwanza utakayohukumiwa nayo na ndiyo ambayo wanadamu watahukumiwa nayo ni kumkana Yesu Kristo kuwa Mwokozi wako. sikulaumu kwa hali uliyokuwa nayo kwasababu hata wakati unaota ulikuwa gizani, haukuwa tofauti na huko ulikokweda, kuwa mkristo wa dini hauna tofauti na waislam, kwahiyo haujabadili chochote umetoka kwa shetani ukaenda kwa shetani yule yule umebadilisha vyumba tu. ila kuwa Mkristo aliyeokoka (sio wa dini) ni kitu valuable na special, na ndicho kitakachofanya mtu auridhi uzima wa milele. hapo upo safarini kwenda jehanum ya moto wa milele. uamuzi ni wako.
Kwahiyo uislam ni Ushetani?!

Wewe unatafuta vita na watu. Huna unachokijua unaishi kibubusa tu masikini na kwa kufuata mikumbo na kujazwa chuki.

Mijadala na mihadhara duniani kote huwa waktisto wanaishia kushindwa tena kwa FACT! inasikitisha mtu mwenye akili timamu ya aina yako anazungumza maneno ya namna hiyo.

POLE SANA! kumbuka nilikuwa mkristo pia, i lived western for years atlast i found the truth!

UKRISTO SIO DINI, NI AGENDA YA WATU WALIUNDA KITU CHA NAMNA HIYO. NA ASILI YA UKRISTO NI ETHIOPIA.

WAZUNGU WANALIJUA HILI NA WASOMI WAKUBWA ILA NI SIRI KUBWA AMBAYO HUTAKUJA UKAIJUA. UKTISTO NI AGENDA YA WAHUNI, MATAPELI NA WAJANJAWAJANJA TU! YESU HAKUJA NA KITU KINAITWA UKRISTO... NA UKITAKA MFANO MRAHISI KUWA UKRISTO NI AGENDA NA UJANJAUJANJA ANGALIA NA FUATILIA KINACHOENDELEA KWA HAO WANAOJIITA MANABII NA MITUME WENU.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
chief ww hutaki mabikra 70 peponi ?
 
Tatizo lenu kubwa nyinyi ndugu zetu katika imaan, ni shule tu na unafiki. Maana hata kwenye jamii yenu ya waislam, hao mashoga wamejaa! Na hatujawahi kuwaona mkiwatenga. Sasa sijajua kosa liko wapi hapo.
Wewe una shule gani? kipi cha maana ulichokifanya kwa hiyo Shule yako?
Mtu kaamua kubadili Dini kwa utashi wake,sasa wewe povu linakutoka kwa nini? Dini ni imani na matendo,kaamua kua muislamu,heshimu maamuzi yake,
Kutwa unatema pumba hapa JF halafu unajisifu eti una Shule,labda hiyo shule yako ilikufundisha upumbavu.
 
Kwahiyo uislam ni Ushetani?!

Wewe unatafuta vita na watu. Huna unachokijua unaishi kibubusa tu masikini na kwa kufuata mikumbo na kujazwa chuki.

Mijadala na mihadhara duniani kote huwa waktisto wanaishia kushindwa tena kwa FACT! inasikitisha mtu mwenye akili timamu ya aina yako anazungumza maneno ya namna hiyo.

POLE SANA! kumbuka nilikuwa mkristo pia, i lived western for years atlast i found the truth!

UKRISTO SIO DINI, NI AGENDA YA WATU WALIUNDA KITU CHA NAMNA HIYO. NA ASILI YA UKRISTO NI ETHIOPIA.

WAZUNGU WANALIJUA HILI NA WASOMI WAKUBWA ILA NI SIRI KUBWA AMBAYO HUTAKUJA UKAIJUA. UKTISTO NI AGENDA YA WAHUNI, MATAPELI NA WAJANJAWAJANJA TU! YESU HAKUJA NA KITU KINAITWA UKRISTO... NA UKITAKA MFANO MRAHISI KUWA UKRISTO NI AGENDA NA UJANJAUJANJA ANGALIA NA FUATILIA KINACHOENDELEA KWA HAO WANAOJIITA MANABII NA MITUME WENU.
upo dhehebu gani mkuu?
 
Tafadhali muoe FaizaFoxy, ana ugwadu. Mpaka anakaribia kuchanganyikiwa.
Mkuu huitendei haki PhD yetu kaka... nimekuja kuchekea chooni nisije kumaindiwa na Mkuu wa kazi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Karibu katika quran na sunnah.
Uislamu maana yake Kusalimika.

Achana na propaganda za dini hii kuhusishwa na Ugaidi

Hivi unajua kuwa kuoa mke zaid ya mmoja kuna hekma kubwa sana kwa Alie tuumba.

Wacha hiyo, hivi unajua uislamu ndio dini iliyokuna kufundisha watu kujilinda vizuri na najisi( kinyesi na mikojo).

Ntaendelea wacha kwanza nimalizie kazi.
na kuhusumabikra 70 peponi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom