Hii ndo raha ya Bukoba Kagera - Tanzania

Waitu mukuru otakwebwa kutela picha ya Bukoba Cathedral towel make naamini ni sehemu ya vivutio mkoani Kagera
 
Mtumishi Wetu,

Miaka ya 2003-2006 wakati nikihusika kwa karibu kwenye sekta ya Utalii, nilipata kumjua Mama mmoja anaitwa Mary Kalikawe. Huyu Mama amefanya mapinduzi makumbwa kuitangaza Kagera akitumia vivutio ulivyoorodhesha kupitia kampuni yake iitwayo KIROYERA TOURS. Na alipata mafanikio makubwa Kitaifa na Kimataifa.

Kupitia jitihada zake alipata vikombe, ngao za Utalii na mchango wake umetambuliwa na kukukabalika UNESCO. Mama Tibaijuka akiwa UNHABITAT naye alijitahidi kumpa ushirikiano Mama Kalikawe. Hivi sasa simsikii sana Mama Kalikawe lakini najua hajakata tamaa. Na kama sikosei anaendesha museum site kule Nyamkazi.

Lakini pia kuna Project nyingine ya ujenzi wa Kikale na Nyaruju ya Mugasha kule Katuruka, Ntoma. Wengi hawajui kwamba tayari utafiti wa mabaki ya kale umethibitisha kuwa ujuzi wa kale kabisa wa kufua vyuma ulipatikana KATURUKA. Ni katika eneo hili ndipo mnara mrefu kabisa sawa na ule wa Babeli ulinza kujengwa kuelekea mbinguni. Na ulipovunjika masalia yake yaliangua mbali sana. Hadi sasa unaweza kuona masalia ya vyuma vya mnara huu pale Kanazi. Kwa bahati mbaya Project hii imeingia dosari baada ya mzungu aliyekuwa anaiongoza kutaka kujinufaisha zaidi bila kuwajali wenye Kikale

huyu mzungu mmiliki wa hii project kwenye moja ya kazi zake kaandika mambo ya asili sana,na maneno kama katerelo kalifafanua vizuri sana,pia hii archaeological investigation imethibitisha katuruka ni eneo lenye early iron technology evidences,kutokana na ugunduzi huu tunaweza kuwadhibitishia wazungu uwepo wa iron technology hapahapa Afrika,na kufuta dhana ya kwamba Afrika hatujawai kugundua iron technology bali tulipata hiyo knowledge kutoka mesopotamia..(middle east)
naipenda BUKOBA kwetu..
 
Safi sana kijana yaani ambao hawakuisoma hii walimisi vitu vingi..........niliweka hadi part 2
 
Safi sana kijana yaani ambao hawakuisoma hii walimisi vitu vingi..........niliweka hadi part 2

huu uzi unanikumbusha nyumbani,tuna mambo mengi ya kujivunia Bukoba..
Omukama akuwe ama'ni waitu..
Huku mjini tunaswaga,supra na midosho zina polute mind zetu..tukipata nafasi adimu kama hizi tunafarijika..
Kasinge Ta-muganyizi.
 
bukoba kweli pazuri sana,zile huduma sijui zitakuwa zinaenda endaje kibei?<joke plz> BKB NI MAHALA PAZURU! tuwekeeni picha za mpk shopping center,sehemu za starehe kama mabaa na nk.
 
Wakora waitu!<script type="text/javascript" src="safari-extension://com.ebay.safari.myebaymanager-QYHMMGCMJR/75b4aaeb/background/helpers/prefilterHelper.js"></script>
 
Umenikumbusha pande za Buyekera, Nyakanyasi, Rwamishenye, hamgembe, kashura, kibeta, Kashai, Katoma, Shablidini...e.t.c, Bukoba patamu ukiwa na hela, watoto qa kihaya wana maji hao....mmmh
 
Back
Top Bottom