Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Hata hivo hata mi sina hakika kama sivunji sheria kwa kupredict kuwa hii thread ambayo Dena alianika private msg hadharani ndiyo imemfanya apigwe ban.
Kama nakosea, nawaomba sana mods waninyweshe kikombe cha ban. I cant live without you JF.
Mnaikumbuka hii thread hapa chini? bila shaka wanasema kuwa ni kosa la jinai kuanika private msg...
Inaruhusiwa mtu kumtukana mwenzio kwenye PM??????
Kama nakosea, nawaomba sana mods waninyweshe kikombe cha ban. I cant live without you JF.
Mnaikumbuka hii thread hapa chini? bila shaka wanasema kuwa ni kosa la jinai kuanika private msg...
Inaruhusiwa mtu kumtukana mwenzio kwenye PM??????
Tangu nijiunge na JF sijawahi kupata PM ya aina hii ndo maana nimeamua kuiweka hapa uvumilivu umenishinda
Kilichonisikitisha zaidi ni siku hiyo hiyo ndo kajiunga kaja na matusi
Girlie Girlie
19th February 2011 06:26 PM
Member
Join Date : 19th February 2011
Location : Dar
Posts : 43
Thanks14Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power : 0
niache tafadhali
Kilichonisikitisha zaidi ni siku hiyo hiyo ndo kajiunga kaja na matusi
19th February 2011 06:26 PM
Member
Join Date : 19th February 2011
Location : Dar
Posts : 43
Thanks14Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power : 0
Huna akili pamoja upremium member wako. Ungekuwa na heshima ukaacha kunifatilia, endelea na maisha yako. I wish ningeweza kukublock milele!