Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,578 Mar 12, 2012 #4 presha inapanda...presha inashuka
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Mar 13, 2012 #9 Hawa watu wa design hii, wacost sana serikali kukeep afya zao
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Mar 14, 2012 #10 kula sana, kunywa sana na ku do sana.......wakunyumbi huyu
PJ JF-Expert Member Oct 10, 2007 297 32 Mar 14, 2012 #12 Jamani huyo si kwamba amekula sana. Hilo tumbo anakabiliwa na utapiamlo. Ndiyo maana wanaomba posho zaidi ili wapate chakula bora waondoe utapiamlo. Watanzania muone dhiki inayowakumba wabunge wenu na mridhie nyingeza ya posho hahaha!!!
Jamani huyo si kwamba amekula sana. Hilo tumbo anakabiliwa na utapiamlo. Ndiyo maana wanaomba posho zaidi ili wapate chakula bora waondoe utapiamlo. Watanzania muone dhiki inayowakumba wabunge wenu na mridhie nyingeza ya posho hahaha!!!
L Lymphocytes Member Nov 23, 2011 50 8 Mar 14, 2012 #13 anaweza kufanya........... Ki ki ki ki ki ki...!!?
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Mar 14, 2012 #15 Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena.
Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena.
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Mar 14, 2012 Thread starter #16 kichomiz said: Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena. Click to expand... ha ha haaaa.
kichomiz said: Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena. Click to expand... ha ha haaaa.
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Mar 14, 2012 #17 Sio kula sana tu bali na kutofanya mazoezi pia.
sister JF-Expert Member Nov 23, 2011 9,014 6,846 Mar 15, 2012 #18 kichomiz said: Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena. Click to expand... usijidanganye jaribu uone.
kichomiz said: Huyo hata ukimuacha na dem wako utamkuta salama,hilo li mwili na litumbo vimemeza zakari yote,haisimami tena. Click to expand... usijidanganye jaribu uone.
rosemarie JF-Expert Member Mar 22, 2011 6,887 3,412 Mar 15, 2012 #19 hivi hao wanamchagua wana akili?
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Mar 15, 2012 Thread starter #20 episodes said: hivi hao wanamchagua wana akili? Click to expand... wanafikiria ukiwa bwanyenye ndiyo una akili.
episodes said: hivi hao wanamchagua wana akili? Click to expand... wanafikiria ukiwa bwanyenye ndiyo una akili.