Hii ndio staili ya maharusi wa sasa?

fikirini

Senior Member
May 24, 2011
114
22
Jamani jaman, nimekuwa nikishuhudia wanandoa wengi wanafunga ndoa huku tayari mwanamke akiwa na mimba. Unakuta harusi fasta fasta inatangazwa na watu wanafunga ndoa, miezi mitano au sita unaambiwa fulani tayari ana mtoto, sasa wanapowahi kufunga ndoa lengo eti ni kwamba mtoto asizaliwe nje ya ndoa? jamani maana ya ndoa ni nini?
Imebidi nifanye utafiti mdogo na haya yamekuwa ni majibu ya baadhi ya watu:

1. Eti wanaume huwa wanataka kutest kwanza kama mke mtarajiwa anaweza kuzaa, na pia hata yeye kama anaweza kumzalisha mwanamke(a.k.a test before use) kwa hiyo asipopata mimba??..................................
2.Eti wanawake sio waaminifu, kwa hiyo ni kheri umpe mimba ili ujihakikishie kuwa sasa yeye ndo mke wako.

Sasa jamani tusaidiane ni kweli kuna maantiki ya kufanya majaribio? na je hiyo ndio dawa? NAWASILISHA
 
Mimi naona ni kupitiwa tu, wengi huwa wanaanza kuchakachuana mapema. Kitu kikitik wanakimbilia ndoa. Nyingi huwa inatokea bahati mbaya!
 
Mmh, utafiti wako umeifanyia wapi? Ni tamaa za kingono tu, hakuna kurest wala nini. Hayo ulosema ni visingizio vya kuhalalisha tamaa na uzinzi wao.
 
ni tamaa tu wala si sababu hizo mbili, kwani hata kama anamimba bado analika tu,
nani kakudanganya kuwa mimba inazuia gem? u only change positioning.
na swala la kutest uwezo wa kuzaa basi wangeenja hospital, kufanya live c kutest
kwani hamna sample hapo.
 
Nijuavyo hakuna mwanamke anaeolewa akiwa bokra nowadays especially wanawake wa mjini.wakati wauchumba ni lazma mdonyoane hasa mkiwa mnampango wakuoana,ikitokea ndio mshapima HIV basi ni nyama kwa nyama kwakwenda front huku mkifarijiana kwamba endapo utapata mimba tutaona.
Sababu ya kuoana mtu mjamzito ni kweli sbb ni hiyo mimba ili mtoto asizaliwe nje ya ndoa,hasa upande wa mwanamke huwa wanaforce ili isiwe aibu kwao.Kwakufanya hivi maana halisi ya ndoa inapoteaa kwani mnaweza kuoana wakati bado hamjafahamiana vyakutosha,licha ya mtoto kuzaliwa ndoa inaingia matatani na mwisho huvunjika.
Ni vizuri kwa wale ambao hamjaoa,ukioa mtu unaempenda kwa dhati ili muishi kwa raha,upendo na amani.
 
Nimeongelea mambo ya mimba wakati wa kufunga ndoa, kuwa na mtoto nje mmmhh, hilo ni suala lingine mkuu.. kwa mimi mkristo najua hufungi ndoa bali unabariki ndoa
vipi na sisi waume watarajiwa ambao tayari tuna watoto pembeni?
 
Pamoja na kuhakikisha kuwa wote mnaweza kuzaa hii pia husaidia kujua kama mnaendana kimaumbile,sio ile baada ya ndoa mwanamke anadai huyu mwanamme simuwezi au mwanamme anadai kwa huyu dada naelea tu.
 
Nimeongelea mambo ya mimba wakati wa kufunga ndoa, kuwa na mtoto nje mmmhh, hilo ni suala lingine mkuu.. kwa mimi mkristo najua hufungi ndoa bali unabariki ndoa
mmh....wanabariki ndoa? Sasa hapo wanakuwa wanabariki ndoa ipi wakati ndo wanaapa na kuvaa pete kwa mara ya kwanza?
 
Pamoja na kuhakikisha kuwa wote mnaweza kuzaa hii pia husaidia kujua kama mnaendana kimaumbile,sio ile baada ya ndoa mwanamke anadai huyu mwanamme simuwezi au mwanamme anadai kwa huyu dada naelea tu.
Sidhani kama hiyo ni sababu. Mnaweza mkatest na bado tatizo likatokea mkiwa ndani ya ndoa, je hapo inakuwaje? Hiyo test yenu inakuwa na maana gani? Btw, mbona hiyo test ya kuonyesha uwezo wa kuzaa hata hospitalini inafanyika?
 
Jamani jaman, nimekuwa nikishuhudia wanandoa wengi wanafunga ndoa huku tayari mwanamke akiwa na mimba. Unakuta harusi fasta fasta inatangazwa na watu wanafunga ndoa, miezi mitano au sita unaambiwa fulani tayari ana mtoto, sasa wanapowahi kufunga ndoa lengo eti ni kwamba mtoto asizaliwe nje ya ndoa? jamani maana ya ndoa ni nini?
Imebidi nifanye utafiti mdogo na haya yamekuwa ni majibu ya baadhi ya watu:

1. Eti wanaume huwa wanataka kutest kwanza kama mke mtarajiwa anaweza kuzaa, na pia hata yeye kama anaweza kumzalisha mwanamke(a.k.a test before use) kwa hiyo asipopata mimba??..................................
2.Eti wanawake sio waaminifu, kwa hiyo ni kheri umpe mimba ili ujihakikishie kuwa sasa yeye ndo mke wako.

Sasa jamani tusaidiane ni kweli kuna maantiki ya kufanya majaribio? na je hiyo ndio dawa? NAWASILISHA


mkuu research yako fake kama ya REDET sijui....Umejibu swali vizuri kabisa maana ya ndoa ni kuzaa watoto ndani ya ndoa basi kulingana na swali lako lkn ukitaka zaidi...muone Mchungaji Masaniro
 
Sidhani kama hiyo ni sababu. Mnaweza mkatest na bado tatizo likatokea mkiwa ndani ya ndoa, je hapo inakuwaje? Hiyo test yenu inakuwa na maana gani? Btw, mbona hiyo test ya kuonyesha uwezo wa kuzaa hata hospitalini inafanyika?
Mkuu nimesisitiza sababu yangu ya pili yaani siku ya ndoa mke kudai mchi hauwezi au mume kudai kinu kikubwa.
 
vijanaume vinachakachua watoto wa watu kuoa havitaki ss hamna jinsi kuwabambika nazo..tena wamwambia ikiwa na miezi saba kabisaaa!
 
Back
Top Bottom