fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Jamani jaman, nimekuwa nikishuhudia wanandoa wengi wanafunga ndoa huku tayari mwanamke akiwa na mimba. Unakuta harusi fasta fasta inatangazwa na watu wanafunga ndoa, miezi mitano au sita unaambiwa fulani tayari ana mtoto, sasa wanapowahi kufunga ndoa lengo eti ni kwamba mtoto asizaliwe nje ya ndoa? jamani maana ya ndoa ni nini?
Imebidi nifanye utafiti mdogo na haya yamekuwa ni majibu ya baadhi ya watu:
1. Eti wanaume huwa wanataka kutest kwanza kama mke mtarajiwa anaweza kuzaa, na pia hata yeye kama anaweza kumzalisha mwanamke(a.k.a test before use) kwa hiyo asipopata mimba??..................................
2.Eti wanawake sio waaminifu, kwa hiyo ni kheri umpe mimba ili ujihakikishie kuwa sasa yeye ndo mke wako.
Sasa jamani tusaidiane ni kweli kuna maantiki ya kufanya majaribio? na je hiyo ndio dawa? NAWASILISHA
Imebidi nifanye utafiti mdogo na haya yamekuwa ni majibu ya baadhi ya watu:
1. Eti wanaume huwa wanataka kutest kwanza kama mke mtarajiwa anaweza kuzaa, na pia hata yeye kama anaweza kumzalisha mwanamke(a.k.a test before use) kwa hiyo asipopata mimba??..................................
2.Eti wanawake sio waaminifu, kwa hiyo ni kheri umpe mimba ili ujihakikishie kuwa sasa yeye ndo mke wako.
Sasa jamani tusaidiane ni kweli kuna maantiki ya kufanya majaribio? na je hiyo ndio dawa? NAWASILISHA