grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Hazitakiwi pia. Waambie akina Mushi na Munisi wasije huku.Ugomvi ruksa kasoro ngumi hazitakiwi.[/QUOTE]
Risasi je?
Hazitakiwi pia. Waambie akina Mushi na Munisi wasije huku.Ugomvi ruksa kasoro ngumi hazitakiwi.[/QUOTE]
Risasi je?
he is good for breeding purposes lolduhhhhh........kijana si haba
iiii na wewe Lady doctor ....... niwekee yako basi kwanza na mimi niigeMapi, acha kunibania basi sa usiku mi ntakuonaje???
iiii na wewe Lady doctor ....... niwekee yako basi kwanza na mimi niige
haaaa!! kumbe ndio unavyoonekana kama kwenye avatar yako hapa??!!hahaha...... Hebu niige kwenye profile na avatar kwanza tupia zako kama mimi
haaaa!! kumbe ndio unavyoonekana kama kwenye avatar yako hapa??!!
hakyanani natangaza ndoa...
Fua langu halikutoshi mpaka unafungua macho kwa vifua vingine.
kwani unaogopa nini jamani...sitishi sanahahaha usitangaze kabla hujatupia za kwako na wewe hapa
Mashalah!!!!
Kama kweli ndo jinsi ulivyo,uko vizuriii,mashallahh,..u remind me of sm1
punguza mkorogo
Hongera kwa wale wote msiokuwa na wivu kwa wenzi wenu wakiongozwa na wewe. Bila shaka hata ukimuona shemeji anamtolea macho au kumtamani msichana mkiwa matembezini hutaona tabu yoyote.daaaah my mdogo sio wivu huo looohhh mwenzio asiusifie uumbaji wa Mungu??????????