GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Wadau nimekuwa nasoma threads na posts nyingi humu, watu wakijiuliza iweje Wakenya wanatuzarau sana sisi Watanzania?
Leo kupitia kipindi cha jarida maridhawa cha STAR TV nimesikia kuwa Nchi yenye investments nyingi zaidi hapa kwa JK ni U.K ikifuatiwa na jirani zetu KENYA. (source STAR TV leo tar 26 sept saa 07 am)
Kwa mtazamo wangu naona hii yaweza kuwa moja ya sababu sisi kuonekana mazuzu.
Naomba kutoa hoja.
Leo kupitia kipindi cha jarida maridhawa cha STAR TV nimesikia kuwa Nchi yenye investments nyingi zaidi hapa kwa JK ni U.K ikifuatiwa na jirani zetu KENYA. (source STAR TV leo tar 26 sept saa 07 am)
Kwa mtazamo wangu naona hii yaweza kuwa moja ya sababu sisi kuonekana mazuzu.
Naomba kutoa hoja.