Kuwapa rushwa tunataka wenyewe...
Hakikisha gari lako halina kasoro yeyote...
Na ukiendesha fuata sheria za barabarani, hakuna trafic atakayekugusa...
Tusiwahukumu kwa kujaa barabarani, mto NDURUMA na kwa mrefu kiutawala ni maeneo tofauti, kwa refi huwa wanakaa upande wa kushoto ukitokea Moshi ili kuhakikisha usalama kwa magari yanayoingia kadhalika kwa maretu, ukiona wamezagaa kuna jambo wanalolifuatilia na huo ukaguzi ni zuga tu, tusiwazuie kufanyakazi. Rushwa ni utashi binafsi na hao Takukuru wamechoka kwa kukosa meno, kesi ya nyani umpatie tumbili haiwezekani, tumechoka ila tusiwagonge