Hii kauli ya Kamishna wa TRA kwa biashara zilizofungwa ni kufanya 'damage control'

Kuna Mtu mmoja kila kukicha anahangaika na Operesheni mara Sangara, Jana nimesikia nyingine kwa jina la Kisukuma, inalenga kuzuia ngombe wasitoke chini kwenda nje ya nch au kuingia bila vibali. Lakini sijawahi kusikia plani zake za kupanua soko halali la nje ya nchi. Nahisi kuna mdororo wa soko la mifugo unanukia hasa baada ya walengwa kupokwa mitaji kwa ajili ya faini!
Hivi unaweza jaza maji kwenye ndoo iliyotoboka??? nadhani ili ndoo ijae maji ziba kwanza tundu, uvuvi haramu na uuzaji mifugo holela umechangia kiasi gani kwenye pato la nchi?? zaidi ya uharibifu..
 
Kufunga biashara za duka na bar wewe unaona zinaweza athiri uchumi?? fikiri vzr,au ni biashara gani zimefungwa?? Taja

Sikuona haja ya kukujibu, lkn itoshe kusema sina muda wa kuelemisha watu ambao hata uelewa wao mdogo, siyo lazima uchangie kila jambo
 
Sikuona haja ya kukujibu, lkn itoshe kusema sina muda wa kuelemisha watu ambao hata uelewa wao mdogo, siyo lazima uchangie kila jambo
Kwanza ni ujinga kuongea kwa jumla jumla bila mifano..toa mifano, biashara so n so zimefungwa!
 
Kuwakomoa wapiga dili.
Hawawakomoi wapiga dili,anaikomoa serikali,mpiga dili na yeye ana familia,familia inawapeleka watoto shule,kama mpida dili hapati kitu kidogo atakosa kulipa ada ya shule,shule nazo zitafugwa kwa sababu haziwezi kujiendeleza kwasababu mpiga dili kaondoa mtoto wake,shule zikifungwa serikali itakosa sehemu ya kukusanya kodi,serikali ikikosa kukusanya kodi,wafanyakazi watakosa mishahara,wafanya kazi wakikosa mishahara,uhalifu utazidi.wananchi wataleta mamalamiko,malalamiko yakokizidi.....and on and on and on

Mkuu huu niliokuwekea ni mfano mdogo tu wa hii tamdhilia ya Magufuli na kuharibu uchumi wa Tanzania,hii ni sehemu moja tu,kuna sehemu ya kukataza mashirika na makamppuni binafsi yasifaye kazi na vyombo vya dola kama vile Magereza na jeshi,kuna sehemu ya kukataza kumbi binafsi(Hotel) zisifanye mikutano ya vyombo vya serikali....and on and on and on,jamaa anajitahidi kuvunja mzunguko wa Pesa,ili aiangushe Tanzania kiuchumi,cha kushangaa serikali imejamaa PHDs na Dkts,MBAs kweli hawazioni hizi" episode"
 
Hawawakomoi wapiga dili,anaikomoa serikali,mpiga dili na yeye ana familia,familia inawapeleka watoto shule,kama mpida dili hapati kitu kidogo atakosa kulipa ada ya shule,shule nazo zitafugwa kwa sababu haziwezi kujiendeleza kwasababu mpiga dili kaondoa mtoto wake,shule zikifungwa serikali itakosa sehemu ya kukusanya kodi,serikali ikikosa kukusanya kodi,wafanyakazi watakosa mishahara,wafanya kazi wakikosa mishahara,uhalifu utazidi.wananchi wataleta mamalamiko,malalamiko yakokizidi.....and on and on and on

Mkuu huu niliokuwekea ni mfano mdogo tu wa hii tamdhilia ya Magufuli na kuharibu uchumi wa Tanzania,hii ni sehemu moja tu,kuna sehemu ya kukataza mashirika na makamppuni binafsi yasifaye kazi na vyombo vya dola kama vile Magereza na jeshi,kuna sehemu ya kukataza kumbi binafsi(Hotel) zisifanye mikutano ya vyombo vya serikali....and on and on and on,jamaa anajitahidi kuvunja mzunguko wa Pesa,ili aiangushe Tanzania kiuchumi,cha kushangaa serikali imejamaa PHDs na Dkts,MBAs kweli hawazioni hizi" episode"
safiri hata ufike rukwa itakusaidia akili yako kujua nchi kubwa km hii haiwezi endeshwa kwa kodi za kumbi za starehe..unavyoandika dhahiri akili yako iko locked!
 
Kamishina kafanya vyema,kutoa taarifa hiyo, undani wake serikali inapaswa sisimua uchumi kwa mikakati madhubuti.Sector kilimo,ufugaji,madini tengeneza mabilionea wa kitanzania.Nashauri hii mikopo midogo ya vijana na kina mama isiwepo tujenge sector binasfsi imara vikundi na mtu watakaotoa ajira za uhakika.Tupunguze machinga na wachuuzi hakuna tija.Tuache siasa kufurahisha kila MTU.

Hoja yako ni ya msingi. Ukienda Kariakoo (na hata kwenye miji mingine) Machinga wanauza bidhaa ambazo ziko madukani. Mbaya zaidi wanapanga mbele ya maduka. Machinga halipi kodi, lakini mwenye frame analipa kodi ya pango, service levy na TRA wanamkadiria kodi mara tu anapofungua duka. Kwa namna hii unategemea nini? Hao Macinga wana add nini kwenye uchumi wa nchi? Ndio maana wengi Kariakoo wame opt kufunga maduka na kufanya umachinga.
 
Ikumbuke kuwa tumekuwa tukihoji takwimu nyingi zinazo tolewa na vyombo vingi vya Serikali, wengi tuliamini kuwa Serikali inapika data( data doctoring).

Moja ya taasisi ambayo imekua ikitoa data ni TRA, TRA imekua ikitoa taarifa za kuvuka malengo ya makusanyo, wakati TRA ikitoa takwimu hizi tuliona biashara nyingi zikifungwa.

Waziri wa fedha na kamishina wa TRA walisema ni jambo la kawaida kabisa na kwamba Serikali bado iko vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato, haikuchukua muda na yeye Rais akaingia kwenye mtego huu na kusema Serikali ina pesa za kutosha ndiyo maana miradi mikubwa kama reli, ndege nk zinagharamiwa kwa fedha za ndani.

Baada ya muda likaja suala jingine wakati wa sherehe za mei mosi Rais alikiri kuwa Serikali haina uwezo wa kuongeza mshahara kwa wafanyakazi, wakati huo huo waziri wa fedha akiomba kwa Rais wa ADB bank kuikopesha Serikali kutekeleza miradi.

Yale tuliyoaminishwa na TRA na taasisi zingine za Serikali kuwa we are in the right track tumeanza kuona kuwa hakukuwa na lolote, asilimia zaidi 40 wa biashara zetu ni merchandise business, ambapo ndiyo Serikali ilikuwa angalau inakusanya mapato, hizi biashara nyingi zimefungwa Serikali itatoa wapi kodi?

Kwenye migodi walipokua wanategemea pesa approach waliyotumia imewafukuza investors wameondoka.

Tukirudi kwenye kauli ya kamishina wa TRA ya kuomba wafanyabiashara wafungue biashara zilizofungwa this is damage contol na its too late, kufungua baishara ni gharama, kurudisha biashara zilizohamishiwa nje ni gharama.

Mmebomoa wenyewe mazingira ya biashara watu wameamua kwenda nchi za jirani na hamjarudisha mazingira mazuri ya biashara, nani atakuja hapa? Hata kwa wawekazaji nani atakuja kuwekeza hapa?

Anguko la uchumi bado ni kubwa, hata hiyo miradi mliyoianzisha itakufa kwa kukosa pesa kama tutaendelea kutegemea kukopa kuendesha miradi hii.
Pale bandarini Kuna shida Kuna kontena letu tunahangaika nalo wiki ya 3 hii ushuru umekuwa mkubwa bila sababu ya kueleweka
 
Kwani kodi inayolipwa ni lazima iwe direct tax? Kuna indirect tax wewe kilaza hao watoto wanalipa kodi indirect maana baba yao alie nchi jirani anapotuma hela hela zinanunua bidhaa hapa Tanzania hivyo hulipa kodi,
Ubishi mwingine bwana; umeisoma vizuri hoja ya huyo ulie quote!? Hazungumzii hasa ulipaji wa kodi, anazungumzia habari za taarifa zako kwa serikali ya Tanzania ambayo board ya mikopo imetoa moja kati ya masharti ya mwanao kupewa mkopo ni kua na leseni ya biashara; yaani kama unayo hiyo basi mwanao mkopo hapati, so kununua vitu madukani au kupiga simu where unakua recorded kama una leseni ya biashara!? Ni vizuri kuzisoma messages za wenzetu na kuzielewa kwanza kabla hatujabisha au kuunga mkono!
 
Umenikumbusha wakati wa vita ya sadam na bush.msemaji wa sadam alikuwa anasema majesh ya sadam yanakaribia ushindi kwani ya wmarekan na wshirika yamezungukwa . Huyu wa TRA naye yupo vile
Mkuu umenikumbusha chemical Ally, ndo serikali yetu kwa sasa
 
Back
Top Bottom