Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
Hamjambo wadau!
Napenda leo tujadili hili jambo la kiutu uzima!
Nimewahi kusikia watu mbalimbali wakisema kuwa unaweza oa mwanamke halafu ukajutia kumuoa sio kwasababu anakusaliti, la hasha! ila kwasababu tu anakuwa kama mkosi flani maana tagu ulipomuoa hupati vyema riziki japo unapambana vilivyo kutafuta hela au kwa lugha nyingine tunasema kuwa ‘unapishana na gari la hela!’.
Eti wakati mwingine unaweza pata dili la hela au kazi ila unapokaribia kulifanya linayeyuka ghafla na kupewa mtu mwingine.
Au wakati mwingine unakutana na mikosi mikosi kibao baada tu ya kumuoa huyo mwanamke au kuwa nae katika mahusiano ya mapenzi kiasi cha kukufanya ushuke kiuchumi au kifedha.
Wakati mwingine unaanza kupata mikosi kazini kwako au ulipoajiriwa sambamba na kupata hasara kadha wa kadha zinazokufadhaisha.
LAKINI pia niliwahi kusikia kuwa waweza oa mwanamke au olewa na mwanamme akawa ni mmbaraka kwako kiasi kwamba, ukawa unapata riziki kwa fujo hadi ukashangaa, mara dili la hela hili hapa, mara mchongo wa kazi huu hapa ama familia inakuwa na utulivu kiafya, yaani kwa ujumla unabarikiwa.
SWALI? UTAWEZAJE KUMFAHAMU MWANAMKE/MWANAMME AMBAYE ATAKUWA NI BARAKA KWAKO NA SIO MIKOSI KWAKO?
LAKINI PIA HALI HII YAWEZA KUJITOKEZA KWA WACHUMBA NA WAPENZI AU NI KWA WANANDOA TU?
PIA, JE NI KITU GANI KINASABABISHA HALI HII?
Karibuni wajuzi.
Napenda leo tujadili hili jambo la kiutu uzima!
Nimewahi kusikia watu mbalimbali wakisema kuwa unaweza oa mwanamke halafu ukajutia kumuoa sio kwasababu anakusaliti, la hasha! ila kwasababu tu anakuwa kama mkosi flani maana tagu ulipomuoa hupati vyema riziki japo unapambana vilivyo kutafuta hela au kwa lugha nyingine tunasema kuwa ‘unapishana na gari la hela!’.
Eti wakati mwingine unaweza pata dili la hela au kazi ila unapokaribia kulifanya linayeyuka ghafla na kupewa mtu mwingine.
Au wakati mwingine unakutana na mikosi mikosi kibao baada tu ya kumuoa huyo mwanamke au kuwa nae katika mahusiano ya mapenzi kiasi cha kukufanya ushuke kiuchumi au kifedha.
Wakati mwingine unaanza kupata mikosi kazini kwako au ulipoajiriwa sambamba na kupata hasara kadha wa kadha zinazokufadhaisha.
LAKINI pia niliwahi kusikia kuwa waweza oa mwanamke au olewa na mwanamme akawa ni mmbaraka kwako kiasi kwamba, ukawa unapata riziki kwa fujo hadi ukashangaa, mara dili la hela hili hapa, mara mchongo wa kazi huu hapa ama familia inakuwa na utulivu kiafya, yaani kwa ujumla unabarikiwa.
SWALI? UTAWEZAJE KUMFAHAMU MWANAMKE/MWANAMME AMBAYE ATAKUWA NI BARAKA KWAKO NA SIO MIKOSI KWAKO?
LAKINI PIA HALI HII YAWEZA KUJITOKEZA KWA WACHUMBA NA WAPENZI AU NI KWA WANANDOA TU?
PIA, JE NI KITU GANI KINASABABISHA HALI HII?
Karibuni wajuzi.