inaonekana kuna ukweli fulani ndani yake.Eti ndio tofauti ya akili ya mwanamke na mwanaume
akili ya pili ni ya mwanaume!!
Mhhhh oyaaa vitu vingine hivi bwana twaacha fanya kazi kuangalia katuni
Huu ubongo wa kiume kiboko....uko bize kupita maelezo.
afadhari ungekuwa busy kufukiria mahela..
Chimunguru bora umesema wewe,nilifikiri macho yangu mabovu!Tafsiri yake ni kwamba wanaume always wanawaza NGONO TUUUUUUU. angalieni vizuri hapooooo
Maana yake ni kwamba akili ya mwanaume lazima ifanye kazi kwani tukiangalia mwanaume ni kama kichwa katika familia kwa hiyo lazima akili ifanye kazi ya ziada.
Dah si mchezo
Naomba niagizie pweza maana siku hizi hata nguvu zimepungua nasikia Zenji pweza wazuri sana huku bara twalishwa pweza wa kichina.
Pweza hasa mkia unaweka na pili pili Manga! Lazima utafute bata