Una kidemu chako kitaa, ambacho umedumu nacho kwa miaka kama miwili hivi ghafla siku moja unakutana na Bro wake mara anakuambia kaka nashukuru kwa kuwa unammega Dadaangu, hongera kaka kwa hilo. Ila tu naomba umlinde, kama ni wewe utajisikiaje?
huyo bro kakukubali na kakushobokea.hapo kitakachofata ni atakua anakupiga virungu vya kumtoa akikwama.cha kufanya ni kupoteza tu.endelea na hicho king'amuzi lakini kaka mpotezee tu kama mwanzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.