Hii imekaaje wapendwa

Nzuri sana Elia,

Kweli kabisa maana mie nilibaki na mshangao sana hata sikufaidi sherehe maana nilibaki namwangalia maza hausi kila anachotenda ni kabaki nastaajabu tu maana mie lazima ningeuliza nani kaandaa na imekuwaje na maswali meeengi mengi tu nadhani hata majibu angeyakosa. na mwisho NINGEONDOKA ENEO LA TUKIO

Tatizo la wanawake kuzoea kufanyiwa kila kitu bila kumuuliza mzee iko vipi? ndicho kilichomfanya maza house afurahie good tymes bila kujua source
 
Nzuri sana Elia,

Kweli kabisa maana mie nilibaki na mshangao sana hata sikufaidi sherehe maana nilibaki namwangalia maza hausi kila anachotenda ni kabaki nastaajabu tu maana mie lazima ningeuliza nani kaandaa na imekuwaje na maswali meeengi mengi tu nadhani hata majibu angeyakosa. na mwisho NINGEONDOKA ENEO LA TUKIO


Dena umenichekesha eti ungeondoka eneo la tukio unabaki tu hapo hapo mpaka kieleweke hawara ni hawara tu wewe ndio mke halisi cha msingi ni kujifunza usiruhusu vitu kama hivyo vitokee unajitahidi kukaba kwani uking'oa tu mguu wako kwa hasira na minuno mume anapata sababu na ikiwezekana siku hiyo asirudi kabisa akisingizia hawezi rudi nyumbani wakati we umenuna na asiporudi migogoro inaendelea na wao kupata chansi ya wao kuendelea kujivinjari.
 
Tatizo la wanawake kuzoea kufanyiwa kila kitu bila kumuuliza mzee iko vipi? ndicho kilichomfanya maza house afurahie good tymes bila kujua source

Huyu mama nilivyomuangalia kama mjanja fulani hivi lakini inawezekana mjaa mkorofi ndani kamuamlisha tu twende kwenye birthday yangu kuna rafiki yangu kanialika. na yeye kaenda tu hana a wala b
 
Ha ha ha ha Fidel bana kwahiyo na wewe tukikutana tunakumbushia kwa kwenda mbele sio??? Wewe acha hizo hebu leta mambo hapa acha kuweka msitari mmoja na kukimbia

Mi tunaendeleza mpaka uzeeni swala ni kwamba mahawala huwa hawaachani kamwe labda uwe umechoka
 
Huyu mama nilivyomuangalia kama mjanja fulani hivi lakini inawezekana mjaa mkorofi ndani kamuamlisha tu twende kwenye birthday yangu kuna rafiki yangu kanialika. na yeye kaenda tu hana a wala b

Mjanja haonekani kwa sura! ila vitendo, kama sijakosea ni mchangamfu fulani au alistukia muvi akaamua kuzuga kama yupo happy!
 
Huyu mama nilivyomuangalia kama mjanja fulani hivi lakini inawezekana mjaa mkorofi ndani kamuamlisha tu twende kwenye birthday yangu kuna rafiki yangu kanialika. na yeye kaenda tu hana a wala b

Ashukuru mungu aliambiwa na yeye aende maana next time atakumbuka kumuandalia mumewe birthday party au hata kumualika chakula cha jioni kama hela ya kuandaa party hatakua nayo, mwingine ndio hata asingeambiwa mwanaume angejiondokea kimya kimya kujirudia usiku amelewa
 
Mjanja haonekani kwa sura! ila vitendo, kama sijakosea ni mchangamfu fulani au alistukia muvi akaamua kuzuga kama yupo happy![/QUOTE]

Aisee wewe unaakili kama mchwa sikuwezi hiyo inawezekana asilimia 100
 
Ashukuru mungu aliambiwa na yeye aende maana next time atakumbuka kumuandalia mumewe birthday party au hata kumualika chakula cha jioni kama hela ya kuandaa party hatakua nayo, mwingine ndio hata asingeambiwa mwanaume angejiondokea kimya kimya kujirudia usiku amelewa

Kweli hapo naona kama mwanaume alikuwa anataka amukumbushe bila kumwambia live eti kasahau ha ha ha ha kazi kwake
 
Back
Top Bottom