Hii imekaaje wapendwa

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,262
Jana nilialikwa kwenye sherehe na rafiki yangu.

Tukiwa tumekaa kwenye maakuli na kunywa kwa sana nikamuuliza rafiki yangu huyo vip mwenye sherehe ni nani yako akaniambia ni Ex wake nilishituka kidogo lakini sikuonyesha kwa sana.

Kumbe bwana kamfanyia sherehe ya kuzaliwa Ex wake wa more than ten yrs, cha kushangaza sasa wife home hakukumbuka hiyo tarehe wala kusema happy birthday my husband, pia naye alihudhuria kwenye sherehe iliyoandaliwa na huyo bidada, mdada kaolewa ana watoto wawili na jamaa kaoa na watoto watatu juu.

Wapendwa tuwe tunaachana bila kinyongo huyu mdada nilimpenda sana kwa hiyo roho yake na kumbukumbu sikumdadisi sana kwanini waliachana niliona nisijeharibu sherehe ya watu bure.


Sijui waungwana mnalionaje hili ruksa au???
 
Changamoto kwa mke wake. Huyo Ex wake yaonesha alikuwa anampenda kwa dhati. Huyu anayeishi naye napata mashaka, yawezekana hata birthday ya husband wake haikumbuki
 
Changamoto kwa mke wake. Huyo Ex wake yaonesha alikuwa anampenda kwa dhati. Huyu anayeishi naye napata mashaka, yawezekana hata birthday ya husband wake haikumbuki

Hilo hata mimi nimeliona maana unakumbushwa na mtu wa more than 10yrs? Aibu ningekuwa mimi nisihudhuria kabisa
 
Hilo hata mimi nimeliona maana unakumbushwa na mtu wa more than 10yrs? Aibu ningekuwa mimi nisihudhuria kabisa

Pia tukumbuke pamoja na kugombana kama wapenzi maisha bado yanaendelea, ipo siku mtakutana. Hakuna haja ya kuwekeana visasi mpaka mnavuana na c***i mlizopeana zawadi wakati mkiwa kwenye good terms
 
Duh, hii kali.. lakini imeonyesha uungwana kwa watu walioachana kistaarabu bila kutupiana mayai mabovu.. changamoto ni kwa huyo mke wake, awe serious ataibiwa!
 
Jana nilialikwa kwenye sherehe na rafiki yangu.

Tukiwa tumekaa kwenye maakuli na kunywa kwa sana nikamuuliza rafiki yangu huyo vip mwenye sherehe ni nani yako akaniambia ni Ex wake nilishituka kidogo lakini sikuonyesha kwa sana.

Kumbe bwana kamfanyia sherehe ya kuzaliwa Ex wake wa more than ten yrs, cha kushangaza sasa wife home hakukumbuka hiyo tarehe wala kusema happy birthday my husband, pia naye alihudhuria kwenye sherehe iliyoandaliwa na huyo bidada, mdada kaolewa ana watoto wawili na jamaa kaoa na watoto watatu juu.

Wapendwa tuwe tunaachana bila kinyongo huyu mdada nilimpenda sana kwa hiyo roho yake na kumbukumbu sikumdadisi sana kwanini waliachana niliona nisijeharibu sherehe ya watu bure.


Sijui waungwana mnalionaje hili ruksa au???

Hapana, its not right!
 
Dah Dena my dia naona kama unanisema mie hivi hahha hahha bas bwana mie ilikuwa bday yangu jamaa nilie nae kifupi alisahau kila kitu wala sikumkumbusha Mungu mkubwa ila Ex alikumbuka kila kitu ,,! Kilichoendelea ni history :smash::smash::smash:
 
Mhh!!!

Mimi naomba niulize, huyo mme wa huyo dada aliyeandaa sherehe naye alikuwepo??? Ninavyojua wanaume walivyo na wivu,,,,yaani anakuruhusu umwandalie ex wako sherehe???!!! mhhh...hapo napata maswali!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mhh!!!

Mimi naomba niulize, huyo mme wa huyo dada aliyeandaa sherehe naye alikuwepo??? Ninavyojua wanaume walivyo na wivu,,,,yaani anakuruhusu umwandalie ex wako sherehe???!!! mhhh...hapo napata maswali!!!

Sidhani kama alikuwepo KH, maana wanaume wa Kibongo walivyo na wivu! Mhhhhhh! pangechimbika! Kusingekuwa na party wala mama yake party bali kasheshe la hali ya juu.
 
Huyo mke naye alikuwepo tu hapo anakenua meno? mie nisingekubali miaka mia mbili, labda wafanye kisirisiri.lazima kuna kitu behind this. kwani we dena hukuona sign yeyote?
 
Huyo mke naye alikuwepo tu hapo anakenua meno? mie nisingekubali miaka mia mbili, labda wafanye kisirisiri.lazima kuna kitu behind this. kwani we dena hukuona sign yeyote?

Hata na mimi nina wasiwasi kuna something going on ambayo huyo mke hajui,,,anajua tu ni ex..wa mume wake...! Binafsi nisingeweza kuikubali hiyo sherehe..!!!
 
Hata na mimi nina wasiwasi kuna something going on ambayo huyo mke hajui,,,anajua tu ni ex..wa mume wake...! Binafsi nisingeweza kuikubali hiyo sherehe..!!!

Kama karuhusu EX afanyiwe Birthday party, je, ni mengine yapi ambayo anaweza kumruhusu mumewe amfanyie ex wake? Hapa kuna utata mkubwa tu ambao si ajabu hata DA sidhani kama anaujua undani wake.
 
Kama karuhusu EX afanyiwe Birthday party, je, ni mengine yapi ambayo anaweza kumruhusu mumewe amfanyie ex wake? Hapa kuna utata mkubwa tu ambao si ajabu hata DA sidhani kama anaujua undani wake.

Yes...hapa kuna maswali mengi sana...nafikiri hata Dena hawezi kuyajibu!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huyo ni mwizi wa mapenzi kama wezi wengine tuliowazoea hakua la zaidi hapo anajipanga kufisadi ndoa ya mtu
 
Hata na mimi nina wasiwasi kuna something going on ambayo huyo mke hajui,,,anajua tu ni ex..wa mume wake...! Binafsi nisingeweza kuikubali hiyo sherehe..!!!
Lol huyo mke kazubaa sana hivi nafikiri mie nifanyiwe bday na x wangu niende n a mume wangu hivi inakujaje hapo. atleast wangejifanyia wenyewe mchana kuliko kuwachoresha wenzao
 
Back
Top Bottom