Yap hata waliotafsiri ndio hao hao,naombea Mama Shaumi nae awepo
Mama Shaum atakuepo tena ndio Main character
Wadau wiki hii sikuweza kuingalia tamthilia kwa siku ya Jummane na Jumatano, nilikua bize katika Ujenzi wa Taifa letu La Tanganyika Inshaalah.
Nadhani kata kwa wiki ijayo pia ratiba yangu imebana, nitaangalia Jumatatu tu. Najua nakosa uhondo sana. Ila nitafuatilia kupita Posts zenu hapa JF. Tatizo kubwa TBC haipo online. Basi ni shida tupu. Hii inasikitisha hakuna Online Television ya Tanzania hata Moja, wakati CITIZEN ipo online kwa Upande wa East Africa.
CC. Dinazarde.
Nimemiss jummanne na jummatano.
huku mapunga wengi ngoja nirudi jukwaa la siasa
Ama kweli there is a thin line between Love and Hate. Mama Shaomi amesha cross border, the so called Iron Curtain.
Mimba hata kutembea hawezi
Hahahahaha! Disco limeingia Mmasai. Sawa Boss wake Shaomi mvaa miwani bila glass.