Ile siku mama shaomi alishika kisu akawa anamwambie mjomba jin,"mimi huota ndoto usiku na kufanya matendo ya kweli,naweza hata kumchinja mtu nikiwa usingizini"baadae yule mzee alitafuta visu vyote vilivyokuwemo ndani akavificha....nilicheka sana.
Ile siku mama shaomi alishika kisu akawa anamwambie mjomba jin,"mimi huota ndoto usiku na kufanya matendo ya kweli,naweza hata kumchinja mtu nikiwa usingizini"baadae yule mzee alitafuta visu vyote vilivyokuwemo ndani akavificha....nilicheka sana.
Mwalimuhuu unampata nae?
huku akiwa ameshka kisu anaimba"usiku huuu kuwa makinii, usiku huuu kuwa makinii,
utachomwa kisu, utachomwa kisu"mze katoa macho kusikia huo mwimbo dah anafurahsha sana huyu mama
ATAKAYENISAIDIA KUPATA DVD(SWAHILI VERSION) za hii series intashukuru sana....
nawe unaipendaa!!!?
sana...nimeiangalia haizidi mara nne....ninataka nianze mwanzo hadi ilipofika...
OK,hebu nitumie account namba yako ulimowekamo hizo hela kwanza kabla ya yote.Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.
Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.
Kiswahili chake hakina ladha.
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.
Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.
Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.
Nadhani Mama Shaoumi anaweza kukushauri, au Mzee Jin. No yule Mtoto wa Kike wa Mzee Jin ni Mfanya Biashara. Anaweza kukushauri. Usikose kuangalia Kesho Mungu akipenda saa 4 Usiku.
Nadhani Mama Shaoumi anaweza kukushauri, au Mzee Jin. No yule Mtoto wa Kike wa Mzee Jin ni Mfanya Biashara. Anaweza kukushauri. Usikose kuangalia Kesho Mungu akipenda saa 4 Usiku.
Mkuu hata mimi nichangamoto kweli kuingalia. Mara nyingi hua nakwepa kuangalia tamthilia kwa sababu zina addiction flani hivi. Ila hii ina uchesi sana. Hawa jamaa waliotafsiri sio Mchezo. Ni proffesional sana.
WATafsiri walio wengi ni WAZANZIBARI na wachache ni wachina waliojifunza kichina,
Wawezajua baadhi ya swaga za kiunguja kama yule shaomi humwuta mama yake "maa" na "baa" hii ni mtindo kiswahili cha Zanzibar,
Maneo kama mwali mpevu nk...ni maneno ambayo hutumika sana zanzibar.
Chei cheii