Unampa ujiko na Konyagi. Influence ya viroba ndio jibu sahihi.Inaelekea wachagga wamekutingisha sana mtima wako...
Siamini kama ni wewe... huwezi kuwa low kiasi hiki. Lazima kuna influence ya Konyagi kwenye bongo yako.
Si bure.
Taratibu taratibu tutafika waungwana ila hongera kwa ushaur murwa....
Huo Ukumbi kama wa Kora unapatikana wapi hapa bongo?At least waangeanza na ukumbi kama wa kora awards Nyam1
Huo Ukumbi kama wa Kora unapatikana wapi hapa bongo?
Wabongo kwa kukosoa tu nani atawaweza??