mimisiowewe
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 315
- 306
Labda tukumbushane tunachokijadili ni "Hidden cancer cures"
Labda tukumbushane tunachokijadili ni "Hidden cancer cures"
Hakika maneno yako mkuu Deception, mimi binafsi nimeshaanza kuzikusanya mbegu ya Apricot, nimeshawahi kuzila ila ni za uchungu balaa ila ninachotaka kufanya ni kuzisaga na kuzitengeneza vidonge kwa kuchanganya na asali.
Hapo juu nilikuwa nawakumbusha watu walioanza kutoka nje ya mada husika na kujadili mengine.
Pamoja
Offcoz watazitafuta sana hizi thread. Wewe fikirikia mtu yuko desparate . Ana kansa. Hata nauli ya kwenda hospital kufuatilia tiba hana. Why asitafute mambegu ya maparachichi na mihogo mibichi. Na mambegu ya ma peachez na nyundo yake na koleo. Na juice za nichicha na mibangi. Maana hayo mavitu hata kipimo hayana
Mashine moja ya mionzi iitwayo linear accelerator serikali imegharamia pesa za kitanzania shilingi bilioni 4.5,pamoja na gharama yote hiyo bado haina uwezo wa kutibu cancer zaidi ya kutuliza dalili na kuwasababishia wagonjwa cancer mpya. Hapa ndipo utakapoona kwamba cancer ni biashara na kamwe huwezi kuja kusikia wanatangaza tiba ya cancer kwenye vyombo vya habari katika vizazi vya hivi karibuni. Kumbe tiba za cancer zinatunguka kwenye mazingira yetu bila kujijua.Ukosefu wa maarifa unaangamiza sana watu.
Pale Ocean Road taasisi ya cancer ukiangalia nje utaona mabango mengi sana na mojawapo ya mabango hayo ni lile la taasisi ya afya ya Marekani ambayo pia imeweka ofisi pale.Kwa mtazamo wa kawaida unaweza kufikiri kwamba wanatupenda sana ndio maana wameweka ofisi pale ya kufanya uangalizi,la hasha,sivyo hivyo.
Wanachokifanya pale ni kutunza biashara yao ili isiingiliwe.Kama kuna jambo lolote ambalo ni hatarishi kwenye biashara yao hulicukulia hatua mapema sana,kama watagundua kuna tiba mbadala ya cancer inapigiwa chepuo basi wanai suppress haraka sana ikiwezekana hata kuua wanaua.
Na pia wapo ili kuendeleza kampeni zao kuhusu cancer kama vile kufanya matembezi ya cancer ya matiti kwa wanawake nk.Sasa umeshawahi kujiuliza kwamba cancer ya matiti ina jambo gani special kulinganisha na cancer nyingine?
Wanaturubuni akili zetu ili tuone kwamba cancer zinatofautiana vyanzo vyake na tiba zake.Hivyo kuhusu cancer ya matiti,wanajifanya wanawapenda saaaana wanawake wetu ndio maana wanafanya matembezi special ya cancer ya matiti.Kumbe cancer zote zina sayansi sawa na tiba sawa.
Hebu tuzinduke,huu ugonjwa sio special kama tulivyodanganywa,cancer ni ugonjwa rahisi sana kuutibu hata kuliko malaria. Ukitibu cancer kwa kutumia naturopath pia utakuwa umetibu hata magonjwa mengine mwilini ambayo huyajui na ni sugu,kwa sababu naturopath cancer cure is total body cleanse and rejuvenation. Huwezi tena kupata kisukari,autoimmunity,AIDS nk.
Hivyo ndivyo mambo yalivyo.
Hahahahahaha kaka acha tu.....kuna mjinga mwingine eti na yeye kaanzisha thread anasema chanjo wanazopatiwa watoto ni mpango wa wazungu kutuangamiza....jinga kama hilo linatembea na kutype kwa sababu tu mama yake alimpiga chanjo ya polio...nilipoiona hiyo thread kidogo nianguke kwa stress aisee....
watu ambao hawajaelimika, sanasana waafrika wanakufa kwa speed sana sababu ya vitu kama hivi, ulichoandika hapo juu hakina ukweli wowote! kusema pharmaceutical industries zinafaidika sana ndo sababu wanaziba ukweli kuhusu treatments ni uongo mtupu.
Mkuu unajua kweli hata process ya cancer ilivyo? tatizo moja la mtanzania akiambiwa tu kua achana na hizo dawa za wazungu zina madhara, tumia hii ya asili anarukia fasta, tena kudanganywa zaidi anaambiwa watu wengi wametumia wakapona, anakomaa nayo mwisho wa siku anakufa..
Kama una cancer, pitia tu hizo options ambazo ni bei kubwa, huna option nyingine hadi pale cure itakapopatikana, yaweza kua kesho, ama kesho kutwa ila itabidi usubiri tu. Njia nyingine zote endelea kupoteza muda mwisho wa siku uifanye iwe worse tukuage, cancer kwenye first stages inatibika kirahisi tu, ila mnavoendekeza njia za asili inakua inafika stage inakua haiwezi kua controlled tena..
Ningekua admin wa jf post kama hizi ningefuta sababu ni za uongo mtupu, zitaua watanzania maana wao ni mstari wa mbele kuamini kila wanachosoma kwenye internet
Fanya kummention Deception ili ajue anahitajika hukumkuu deception naomba unipe ufafanuzi juu ya matumizi ya hiyo black seed oil(mafuta ya habbat sauda) kama tiba ya saratani
Nilikuwa namaanisha niitumie vipi ili iwe tiba?
Haya Fanya hivi mfano nataka nikwambie mambo. Naandika mambo afu naweka space, unaweka alama ya @ afu unaandika ID kama ilivyo bila kuruka nafasi baada ya @.Mkuu unamention vip cz mi mgeni humu
Haya Fanya hivi mfano nataka nikwambie mambo. Naandika mambo afu naweka space, unaweka alama ya @ afu unaandika ID kama ilivyo bila kuruka nafasi baada ya @.
Mambo Rai Pazzy
Haya Fanya hivi mfano nataka nikwambie mambo. Naandika mambo afu naweka space, unaweka alama ya @ afu unaandika ID kama ilivyo bila kuruka nafasi baada ya @.
Mambo Rai Pazzy