samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,016
- 1,220
Nimeona zipo nyingi za Arusha,dodoma,mwanza zimewekewa bomba au chuma kinachozuia kioo kwa ndani mi nasema matrafiki hawaoni je ikitokea ajali ya moto au vinginevyo abiria watatokea wapi hivi Sumatra mpaka yatokee ya kutokea ndo mshtuke.zikagueni hizo daladala na muwaambie watoe mavyuma hayo hatarii.
Basi.ni Mimi mpanda daladala
Basi.ni Mimi mpanda daladala